Gulaya
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 659
- 230
Sasa tumuamini nani?
kiamini kichwa chako
Sasa tumuamini nani?
Kuamini kichwa changu tu ni ubinafsi wa hali ya juu,na kumbuka tunaongelea issues za kijamii,ili kufanikisha inahitaji kuaminiana!!kiamini kichwa chako
Mmoja wa wanazuoni wakubwa katika Uislamu Ibn Mubarak anasema:kwa hiyo unazarau uamuzi wa baraza la maulamaa ambao ni wawakilishi halali wa waislamu?
Kwa hiyo ni wakati muafaka wa kuwaamini shehe Mukudamu Abdallah Swalehe na shehe Ponda Issa Ponda?Mmoja wa wanazuoni wakubwa katika Uislamu Ibn Mubarak anasema:
"Ukimuona mwanazuoni katika geti (mlango) wa kiongozi/mtawala (dhalimu) basi juwa kuwa mwanazuoni huyo ni mwizi"
*mwizi anayekuibia dini yako, mali zako n.k
Mtume SAW anasema "Kuna ambacho ninakiogopea zaidi Ummah wangu kuliko Dajjaal (anti Christ) alipoulizwa ni nini akajibu "Maulamaa/wanazuoni waovu wapotevu" (Musnad Imaam Ahmad namba 21:334)
Sina sababu yoyote ya kutowaamini! bali hawa wanawakilisha matakwa ya Waislamu wa Tanzania.Kwa hiyo ni wakati muafaka wa kuwaamini shehe Mukudamu Abdallah Swalehe na shehe Ponda Issa Ponda?
Kama ni hivyo mkuu basi hakuna tofauti na baraza la maulamaa kwa sababu nao waliaminiwa na waislamu kama wewe na isitoshe wote ni binadamu kama wewe!!Sina sababu yoyote ya kutowaamini! bali hawa wanawakilisha matakwa ya Waislamu wa Tanzania.
Ni sawa lakini lakini ni bora wangeuza ili kupata hard cash rather than going barter way,thamani ya ile plot wangeweweza kupata eneo kubwa na mtaji wa kuanzia ujenzi!bakwata wamekwiba bhana!Mkuu zile nne labda tu kwa sababu katikati ya jiji. Lakin unapoongelea CHUO KIKUU hakika Nne hazitoshi kabisa.
Chuo kikuu kinahitaji miundombinu mingi sana, ilikukidhi mahitajio ya kiwango cha kuitwa chuo kikuu. Walau hizo arobain japo ningesema ziwe 100 au zaid.
Sijui kama umeielewa Hadith niliyoinukuu kutoka kwenye Musnad wa Imam Ahmad!Kama ni hivyo mkuu basi hakuna tofauti na baraza la maulamaa kwa sababu nao waliaminiwa na waislamu kama wewe na isitoshe wote ni binadamu kama wewe!!
Ni sawa lakini lakini ni bora wangeuza ili kupata hard cash rather than going barter way,thamani ya ile plot wangeweweza kupata eneo kubwa na mtaji wa kuanzia ujenzi!bakwata wamekwiba bhana!
kadhi ubwabwa huyo,,
msachi mfukoni utamkuta na ndizi
Kwa hiyo ni wakati muafaka wa kuwaamini shehe Mukudamu Abdallah Swalehe na shehe Ponda Issa Ponda?
Teh teh teh kwa hiyo shehe kundecha ni tapeli wa kutupwa,wanatumia dini ili kujipatia maslahi yao binafsi!!kuna mmoja anaitwa shehe kundecha alichangisha pesa za kwenda ndanda secondary kuzuia watoto wa ki i slam kufanya necta..pesa za coaster 5 zilikodisha coaster 3,chenji iliyobaki haijulikani hadi leo ilipo.
kuna mmoja anaitwa shehe kundecha alichangisha pesa za kwenda ndanda secondary kuzuia watoto wa ki i slam kufanya necta..pesa za coaster 5 zilikodisha coaster 3,chenji iliyobaki haijulikani hadi leo ilipo.
Mkuu zile nne labda tu kwa sababu katikati ya jiji. Lakin unapoongelea CHUO KIKUU hakika Nne hazitoshi kabisa.
Chuo kikuu kinahitaji miundombinu mingi sana, ilikukidhi mahitajio ya kiwango cha kuitwa chuo kikuu. Walau hizo arobain japo ningesema ziwe 100 au zaid.
Mkuu yule jamaa ni bingwa wa mafarakano, sijui Kuran anyoisoma yeye mwasisi wake ni nani!Sasa kila MTU anamkana SHEIKH PONDA? Mnadhani atabakia JELA MILELE? SUBIRINI atoke na Mnaomkana kila MTU mtakiona cha MOTO...
Mkuu yule jamaa ni bingwa wa mafarakano, sijui Kuran anyoisoma yeye mwasisi wake ni nani!
Watu wa mafarakano wa aina ya Ponda mwisho wao si mzuri.Inaonyesha HIVYO... Sasa kweli ataweza KUSAFIRI kwenda NJE ya NCHI? Sababu JINA lake LABDA limeshawekwa kwenye INTERNATIONAL BLACK BOOK of TRAVELLERS