KADHI COURTS have emboldened JK’S new CJ pick..............

Muulize buchanan aliyetaka kuwahusisha waislamu na JK eti atawasaidia kuwapa mahakama ya kadhi you are dead wrong kila kitu kitaenda kwa mpangilio na sio kwasababu fulani yuko ikulu. Ingelikuwa Tanzania nchi ya kikristo hilo ni swala jengine but kama tanzania yetu sote wait and see
Tatizo la kujiuliza ni kuwa kwanini Raisi anapokuwa ni Muislamu ndiyo kasheshe na purukushani za haki za waislamu ndipo huibuka......tunazo taarifa ya kuwa JK hukutana na viongozi wa Kiislamu na huwahamasisha hapo Ikulu wapigie debe Mahakama za Kadhi ili kumpa yeye nguvu ya kuzisimika kwetu isivyo halali na kinyume na sheria.......kwenye Kampeni hakuzungumzia huu upuuzi lakini sasa ana mipango ya kuutekeleza kimyakimya.....................

Kila mara JK hudai yeye siyo mdini lakini anawasuta wengine kuwa ni wadini........ukweli ni kuwa katika historia yetu hatujawahi kuwa na Raisi mdini kama yeye....................Mkapa na ufisadi wake ni nafuu kuliko huku JK anakotaka kutupeleka.....maafa na umwagaji damu.........................May God intervenes on JK's nonsense.............................
 
Mahakama ya Kadhi iruhusiwe tu kama vile zilivyorusiwa seminari za kikristo na NGOs mbali mbali tu za kiislam na kikristo...........Hakuna haja ya kugombana katika hili...........cha msingi tu hizi mahakama ziwekewe mipaka ilizisije zikaingiliana na mahakama zilizopo kama vile kwenye kuhukumu wezi,wanzinzi, walevi nk..........Kwani si zitakuwa zinajiendesha kwa michango ya waislam wenyewe???...........hakuna haja ya kugombana hapa, ila kama zitategemea kodi zetu hapo hapana

Lengo ni kuwa Mahakama hizi ziwe sehemu ya dola....na mahakimu wake pamoja na gharama zake zote kufadhiliwa na Hazina.................na hapo ndiyo mgogoro unapoanza.......................kama zingelikuwa zinajiendesha kwa gharama ya waislamu na hazibebwi na Hazina tusingekuwa na kero kwenye hilo....................................

Kumbuka hadithi ya mwarabu na ngamia.........................................kwanza pua..................................mwishowe ni mateke na kutimuliwa..................................hawa watu wana malengo makubwa ya mbele ya kuisilimisha nchi hii....................Usipoziba ufa utajenga ukuta................................
 
Sina budi kukupongeza kwa kazi uliyofanya lakini contents ni upupu ndugu yangu. Hatudanganyiki kwa bombastics words kwani uzuri wa nyumba lazima uendane kati ya vifaa na ramani. Kwa ufupi hoja yako iko katika speculations na sio with supporting evidence.
Hata hivyo tumeshakuelewa kuwa JK kama kawaida amefanya kosa kumchagua Muislamu katika nafasi nyeti kama hii. Ndugu yangu huoni aibu badala ya kukosoa uteuzi kutokana na demerits wewe unaangalia juu ya jina! Huyo ni Mtanzania na ana haki sawa kwani siku zote tunasema kuwa Serikali haina dini.

Point ngekewa, damn clever huyu jamaa alikuwa anataka kuonyesha bombastics zake, lakini hata hivyo anatumia muda sana kujiandaa na dictionaries. hongera yake
 
Hapa sasa ndio tunaingia katika mjadala mrefu na mara nyingi mnashindwa na kuishia kukashifu uislamu hebu tuambieni nini definition ya serikali haina dini? Ikisha mkitoka hapo mtuambie vp pale serikali inapokuwa na mahusiano na taasisi ya kiroho kama Vatican je haivunji principals zake kuwa haina dini? Tatu mtujulishe ni kwa vp serikali inapoamua kutoa favours kwa kanisa kwa kutoa misamaha ya kodi huku wengine wakiwa hawana habari halafu mnadai serikali haina dini? Mkimaliza mtujulishe inakuwaje sheria za nchi zinafavours zaidi wakristo (kwasababu asili yake zimetokea kwenye common laws, canon laws) na kuwaacha waislamu wakiwa baadhi ya vipengele wanakuwa wanatengwa. Mkimaliza hapo ndio tuje sasa kukaa meza moja na kutuimbia serikali haina dini otherwise mie naona it is absolutely load of crap!!!!

Darasa kubwa linahitajika kwako.................................vatican ni nchi kama ilivyo Palestina, Libya, Saudi Arabia, Iraq, Iran n.k sasa jipya ni lipi na udini uko wapi hapo?

Hata siku moja serikali hii haijawahi kutoa favours au upendeleo wowote kwa makanisa ila sheria za kodi zipo wazi kuwaruhusu madhehebu yaote yaliyoandikishwa kupata misamaha ya kodi kwa shughuli zenye tija kwa umma kama vile mahospitali, shule n.k....................sasa kama Bakwata imeuchapa usingizi hilo usisingizie udni au upendeleo kwa ukristu...............

For how long will you continue in this stupefying slumber......................wake up, man...........and be real.........
 
Ndiyo shida ya kina rutaXXXXXma... wanaona kuweka maneno yasiyo common ndiyo akili..... mbona blog za wamerekani wanaandika common used words? it bores to read it all....
 
Ndiyo shida ya kina rutaXXXXXma... wanaona kuweka maneno yasiyo common ndiyo akili..... mbona blog za wamerekani wanaandika common used words? it bores to read it all....

Haya ni matunda ya Madrassa..........................pelekeni watoto shule ambazo kweli ni shule.............................haya mengine hutakuwa na kikwazo nayo....................yaani hata kuchangia umeshindwa hii ni dalili umetoka kapa na unaishia kuhoji majina ya watu ambayo hata maana yake hujui..........................................

If you argue with a fool nobody will notice the difference.............
 
Wewe ina kuhusu nini? kama wewe ni muIslam utajuwa manufaa yake, kama si muIslam huna cha kuelewa kwani bado mpaka leo unakubali 3 = 1

Dsm; aliyeuliza alitaka umweleweshe Waislam watapata nini cha ziada na wasio Waislam wataathirika kwa lipi endapo kutakuwepo na mahakama ya Kadhi. Kwa hayo majibu uliyompa basi atalazimika kupinga hiyo mahakama akidhani kuna agenda ya Siri!
 
Jamani tunaelekea wapi?tunata,kiwa tupime mtu khwa sifa zake je anaweza ?je hakuwa senior judge na je ktk utendaji wake alikuwa na upendeleo wa aina yoyote kwa madhehebu fulani.Mimi nadhani ni mapema mno kumshambu'ia apewe muda afanye kazi na tumhukumu kutokana na kazi yake lakini lazima tukiri kuwa mahakama zetu bado hazijawa indepent tukirekebisha katiba tuta maliza kabisa kasoro zilozopo
 
If you had read Mwananchi of today you may have gleaned something unique and pernicious that is engulfing our Bench…………………………

The departing CJ Ramadhan is leaving us with an ominous departing shot about the state of affairs in the judicial corridors that all is not well…………….that members of the Bench are highly fragmented and factitious in bitter, rivalry cabals………….

To soliloquize his beef, I will capture him best if I quote the last paragraph on page 4 of his jeremiad…………in Mwananchi paper……… "Jaji Mkuu huyo alikumbushia tukio hilo lililotokea wakati walipokuwa katika kikao kilichowakutanisha majaji wote wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa na kuelezea mtafaruku wa kurushiana maneno ulivyozuka baina ya Jaji mmoja wa Mahakama Kuu na mwingine wa Mahakama ya Rufaa……………."

What we are discerning is that there is catharsis among members of the Bench and from my established sources unmerited appointments seem to be the tinderbox waiting to ignite…………..

Another gem, we are also lucky to learn from an ex-CJ Ramadhani is, there is growing misconduct among judges to disobey the law and grind out bad decisions………………..Here I quote him again………………………….

"Jaji Ramadhani aliweka wazi kuwa kuna madudu mengi yanayofanyika kwenye Mahakama ya Rufaa kwani baadhi ya ushahidi unaotolewa ni wa kupika na kuongeza kuwa ni jukumu la Jaji Mkuu kuhakikisha anaingilia kati kila mara hali hiyo inapotokea…….."

What we are learning there, is that there is an emerging culture of judicial malpractice and the nation has to cling upon the CJ's personal morality to right the wrongs……………a sign that judicial institutions are too effete to correct themselves without unnecessary interventions from the most senior member of the judiciary…………………..

We know the outgoing CJ was no an angel as exhibited by the legal howler he unleashed upon us on "independent candidates" but his three and half years as CJ can not and should not, by any stretch of imagination, be taken for granted………………………………..

The incoming putative CJ will lord upon us for seven long years given he was born in 1952 and he still has those seven years before he clocks 65………………..that is interesting, why CJ Ramadhan was appointed while his appointer knew he was going to last for a mere three and half years……………………………that his influence is gonna be rinsed away within a short time by his successor………A Muslim, of course…..it was all part of JK's cunning calculations……………to ensure a future CJ was going to be empathetic to his dear cause of re-instituting the Kadhi Courts in our social order…….

At High Court, one advocate whose private firm was doing barely okay was quickly indented into the Bench, and with such alacrity was exalted to be Jaji Kiongozi ..............and the only memorable judicial contribution from him was to overturn the magistrates' Courts decision that had condemned one skullcap defiant wearing Muslim in a courtroom despite several magisterial orders to doff off his skullcap had met deaf ears……………….the good Magistrate applied the law to the letter and ordered the daredevil to be incarcerated for a reasonable period……………Our Jaji Kiongozi had different ideas when he freed the scofflaw........just to snub at what he viscerally perceived as Christianity laws that are demeaning Islam.........................

The new Jaji Kiongozi corrected the sentence by setting free that swashbuckler setting off leeway for future scofflaws to contempt the courts………….in a process……………Thanks to his timely intervention……….Thereafter, the good Jaji Kiongozi has gone to sleep.................awaiting Kadhi Courts before he comes out alive and firing all four cylinders.......................In protection of Islam against the hegemony of infidels...............

With JK's final contribution to our national largess likely being the reintroduction of Kadhi Courts, it is too overt that his new CJ pick was guided and inspired by religious considerations needed to defuse and scuttle any anticipated court action geared to strike out new contemplated laws behind the Kadhi Courts……………..I read no other motive, I am afraid…………………………….

Where the courts need someone who is a renown unifier given the factions now threatening their smooth run, JK brought in someone who is least aware of the courts' actual needs………………….The new CJ is likely to be least revered given most of judicial appointments and promotions under JK are devoid of merits but well informed and embroidered by nepotism and cronyism……….let alone religious considerations for the purposes of pushing JK's parochial agendas………Kadhi Courts…………..

But the good news are JK is not and will never be the Almighty God and one day he will join past presidents whose mark in our state of affairs remain too tiny to entice meaningful historical interpretations…………………..In days to come, we will be free of JK's tyranny…………………




Huu ni mtazamo wa mtu mdini Au? Toa sababu za msingi za kutoridhika na uteuzi siyo tu hisia za kidini!

Mbona hapa hujashangaa, kwani hakuna majaji wengine wenye Umri ndogo zaidi ya JM mteule!

Tusiangalie wateule kwa majina ya dini zao bali kwa utendaji wao wakipewa hizo ofisi.
 
SIFA KUBWA YA WAHAYA NI UBINAFSI(UKABILA),, SASA KUMBE HATA UDINI WANAO??????
tungekuwa na sisi tuna HITLER wetu nadhani angejenga GAS CHAMBERS nyingi sana kwa ajili ya kuwateketeza wahaya
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ~Shamsi Nahodha
Waziri wa Ulinzi na JKT ~Dr Hussein Mwinyi
Waziri wa Fedha ~Mustapha Mkulo
Chief Justice ~Mohamed Chande Othman
TISS boss ~Rashid Othman
 
Hamna kichwa wala miguu, yote nini? Tanzania kuwa na mahakama ya kadhi inakuwa kituko? Mahakama ya kadhi itakuwepo, na jaji mkuu ndio huyo muIslam, sasa mnataka nini zaidi?

Sawa jaji mkuu muslamu amepatikana na hiyo ilitarajiwa; lakini kuwa jaji mkuu jina bila kupata heshima kwa wale unaotakiwa kuwaongoza ni adhabu kubwa kwa muhusika, na hasa pale inapojulikana kuwa uteuzi huo umekidhi maudhui ya kidini na sio uwezo!! Sasa tungoje muislamu mwingine achukue nafasi ya Luhanjo kuwa Chief secretary na hapo mkwere ndio atakapokuwa anakaribia kukamilisha safu ya strategic muslim appointments!!
 
If you had read Mwananchi of today you may have gleaned something unique and pernicious that is engulfing our Bench…………………………

The departing CJ Ramadhan is leaving us with an ominous departing shot about the state of affairs in the judicial corridors that all is not well…………….that members of the Bench are highly fragmented and factitious in bitter, rivalry cabals………….

To soliloquize his beef, I will capture him best if I quote the last paragraph on page 4 of his jeremiad…………in Mwananchi paper……… “Jaji Mkuu huyo alikumbushia tukio hilo lililotokea wakati walipokuwa katika kikao kilichowakutanisha majaji wote wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa na kuelezea mtafaruku wa kurushiana maneno ulivyozuka baina ya Jaji mmoja wa Mahakama Kuu na mwingine wa Mahakama ya Rufaa…………….”

What we are discerning is that there is catharsis among members of the Bench and from my established sources unmerited appointments seem to be the tinderbox waiting to ignite…………..

Another gem, we are also lucky to learn from an ex-CJ Ramadhani is, there is growing misconduct among judges to disobey the law and grind out bad decisions………………..Here I quote him again………………………….

“Jaji Ramadhani aliweka wazi kuwa kuna madudu mengi yanayofanyika kwenye Mahakama ya Rufaa kwani baadhi ya ushahidi unaotolewa ni wa kupika na kuongeza kuwa ni jukumu la Jaji Mkuu kuhakikisha anaingilia kati kila mara hali hiyo inapotokea……..”

What we are learning there, is that there is an emerging culture of judicial malpractice and the nation has to cling upon the CJ's personal morality to right the wrongs……………a sign that judicial institutions are too effete to correct themselves without unnecessary interventions from the most senior member of the judiciary…………………..

We know the outgoing CJ was no an angel as exhibited by the legal howler he unleashed upon us on "independent candidates" but his three and half years as CJ can not and should not, by any stretch of imagination, be taken for granted………………………………..

The incoming putative CJ will lord upon us for seven long years given he was born in 1952 and he still has those seven years before he clocks 65………………..that is interesting, why CJ Ramadhan was appointed while his appointer knew he was going to last for a mere three and half years……………………………that his influence is gonna be rinsed away within a short time by his successor………A Muslim, of course…..it was all part of JK’s cunning calculations……………to ensure a future CJ was going to be empathetic to his dear cause of re-instituting the Kadhi Courts in our social order…….

At High Court, one advocate whose private firm was doing barely okay was quickly indented into the Bench, and with such alacrity was exalted to be Jaji Kiongozi ..............and the only memorable judicial contribution from him was to overturn the magistrates’ Courts decision that had condemned one skullcap defiant wearing Muslim in a courtroom despite several magisterial orders to doff off his skullcap had met deaf ears……………….the good Magistrate applied the law to the letter and ordered the daredevil to be incarcerated for a reasonable period……………Our Jaji Kiongozi had different ideas when he freed the scofflaw........just to snub at what he viscerally perceived as Christianity laws that are demeaning Islam.........................

The new Jaji Kiongozi corrected the sentence by setting free that swashbuckler setting off leeway for future scofflaws to contempt the courts………….in a process……………Thanks to his timely intervention……….Thereafter, the good Jaji Kiongozi has gone to sleep.................awaiting Kadhi Courts before he comes out alive and firing all four cylinders.......................In protection of Islam against the hegemony of infidels...............

With JK’s final contribution to our national largess likely being the reintroduction of Kadhi Courts, it is too overt that his new CJ pick was guided and inspired by religious considerations needed to defuse and scuttle any anticipated court action geared to strike out new contemplated laws behind the Kadhi Courts……………..I read no other motive, I am afraid…………………………….

Where the courts need someone who is a renown unifier given the factions now threatening their smooth run, JK brought in someone who is least aware of the courts' actual needs………………….The new CJ is likely to be least revered given most of judicial appointments and promotions under JK are devoid of merits but well informed and embroidered by nepotism and cronyism……….let alone religious considerations for the purposes of pushing JK’s parochial agendas………Kadhi Courts…………..

But the good news are JK is not and will never be the Almighty God and one day he will join past presidents whose mark in our state of affairs remain too tiny to entice meaningful historical interpretations…………………..In days to come, we will be free of JK’s tyranny…………………

i beg to differ,kwanza kabisa nasikitika kwa various malfunctioning ambayo inaonekana kuwepo mahakamani, ni suala la kukemea kwa sababu mahakama ndiyo chombo kikubwa na muhimu kabisa cha haki, sasa interest binafsi zinapoanza kuingia inatia shaka...
kuhusu suala la uteuzi wa jaji mkuu mi nasema watanzania tumeanza kuwa wadini sana..huyu bwana kwa credentials zake ni mtu tu anafaa..kama ana mapungufu labda kiutendaji au kiuzoefu wa hapa na pale hiyo ni ubinadamu, hakuna mtu amekamilika 100 percent, hakuna mtu anafit sehemu 100 percent ila huwa tunasema angaklau efficiency ya mtu ionekane kwa asilimia fulani kubwa ya kuridhisha..huyu bwana hajaanza hata kazi mshaanza kumshambulia tena kwa misingi ya kuwa muislamu, tatizo ni hiyo mahakama ya kadhi..kwa hili serikali ilishalitolea tamko, kama nakumbuka pinda aliliongelea bungeni akasema mahakama ya kadhi ianzishwe na wao wenyewe (mimi ni mkristu) so nadhani so far huo ndo msimamo wa serikalu so far untill further notice..sasa tusianze kuhusisha teuzi za watu mbalimbali hasa waislamu na mambo kama haya..mimi naona watu wenye chuki na udini especially kwa ndugu zetu waislamu ndo ambao wamekazania kusema jk kamteua jamaa ili akatimize suala la kuanzisha mahakama ya kadhi..lets see what will happen..ka sababu kama mambo yatalazimishwa then ikazuka vurugu mnadhani hao waislamu au sie wakristu tutakuwa salama??kwa kiasi kikubwa sie wote tutaathirika so mi sioni sababu ya kuwa na chuki na udini..kila kukich muislamu akiteuliwa basi karaha....tuangalie uwezo na sio udini..kuna kipindi unakuta nafasi nyeti zote wakristu kuanzia uraisi labda, waziri mkuu, jaji mkuu, spika wa bunge na mkuu wa majeshi..na watu huwa kimya..leo waislamu ndo wanashika hatamu kelele..hii si nzuri wandugu na tujiangalie na tupige vita udini..
 
Ndugu zangu ndugu zangu UDINI UDINI MPAKA LINI??? Naona maoni ya baadhi yetu yanalenga mtazamo wa udini zaidi!!!!!!! Mimi ni Mkristo ila si amini Kuhusu Udini katika uongozi cha muhimu ni Kiongozi Bora. Kiongozi atazamwe kwa utendaji wake na si dini yake! Kwa hiyo ndugu tumpe muda huyu bwana ili tumpime kwa utendaji wake na kama kuna mambo yatakuja mabaya tumjaji. Kwa utendaji na si kwa imani yake ya kuwa muislamu. Muasisi wa taifa letu Mwalimu Nyerere alishatuasa Tusijaribu kabisa kumbagua mtu kwa dini yake. Tusihusishe teuzi za watu mbalimbali kwa minajili ya kidini katu!!
Tusibaguane ndugu zangu Wakristo Waislamu na dini nyingine tumeishi miaka na miaka kwa umoja bila ubaguzi iweje leo. Tusizani matatizo yakija kuna atakaye faidi bali tutaumia wote waislamu kwa wakristo. Namaanisha hatutakuwa salama

Na Alaaaniwe aletaye udini Tanzania na wote semeni Amina
Na alaaniwe adhaniaye dini yake ni bora kuliko ya mwingine na wote semeni Amina
Na Alaaniwe asiyeitakia nchi yetu mema na wote waseme AMina
NA Alaaniwe atakayekasirishwa na maoni yangu na wote semeni Amina.
 
Sina maoni hasi kuhusu huu uteuzi kwani aliyeteuliwa ana sifa zinazotakiwa. Ninachohoji hapa ni kama TRA inakusanya kodi Zanzibar na kuingiza kwenye hazina ya Serikali ya Muungano!!! Kama makusanyo ya Zanzibar yanaingia serikali ya mapinduzi Zanzibar, kwangu Muungano huu unaweza kuwa chanzo cha umaskini wa Watanganyika. Wateule toka Zanzibar walioko Serikali ya Muungano kuanzia Makamu wa Raisi shuka chini ni wengi mno na kama mishahara na marupurupu yao yanalipwa na kodi wanazotozwa Watanganyika kupitia TRA basi ndio sababu ya hata kushindwa kuwa na Transforma ya spea!!!!
 
with all due respect mr. Rutashubambele I mean Nyuma, (this is personal) I was raised Catholic, I'm open to budhism, I'm naive in islam. well I've tried to read the your article but it is nonsence, you are just trying to talk/write to impress, you are too shallow and I dislike your style of writting, I'm sure lots of us do. down here I correct some of the mistacke in the part I manged to read

If you had read Mwananchi of today you may have gleaned( to gather (something) slowly and carefully in small pieces[FONT=&#23435;&#20307;]; here is wrongly used word it is common used for gleaning grains "action" "learned" should be right word)[/FONT]</SPAN> something unique (also slightly wrongly used,you mentioned multiple facts and unique is mostly used for positive ) and pernicious(too strong word here dfn causing grave harm; deadly[FONT=&#23435;&#20307;])[/FONT]</SPAN> that is engulfing(dfn: to devote or flow over or cover completely[FONT=&#23435;&#20307;])</SPAN></SPAN>[/FONT] our Bench&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;

sp please next time don't try to write to impress, just express your idea in a simple way possible....
 
If you had read Mwananchi of today you may have gleaned something unique and pernicious that is engulfing our Bench&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;

The departing CJ Ramadhan is leaving us with an ominous departing shot about the state of affairs in the judicial corridors that all is not well&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.that members of the Bench are highly fragmented and factitious in bitter, rivalry cabals&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.

To soliloquize his beef, I will capture him best if I quote the last paragraph on page 4 of his jeremiad&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;in Mwananchi paper&#8230;&#8230;&#8230; "Jaji Mkuu huyo alikumbushia tukio hilo lililotokea wakati walipokuwa katika kikao kilichowakutanisha majaji wote wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa na kuelezea mtafaruku wa kurushiana maneno ulivyozuka baina ya Jaji mmoja wa Mahakama Kuu na mwingine wa Mahakama ya Rufaa&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;."

What we are discerning is that there is catharsis among members of the Bench and from my established sources unmerited appointments seem to be the tinderbox waiting to ignite&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..

Another gem, we are also lucky to learn from an ex-CJ Ramadhani is, there is growing misconduct among judges to disobey the law and grind out bad decisions&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..Here I quote him again&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.

"Jaji Ramadhani aliweka wazi kuwa kuna madudu mengi yanayofanyika kwenye Mahakama ya Rufaa kwani baadhi ya ushahidi unaotolewa ni wa kupika na kuongeza kuwa ni jukumu la Jaji Mkuu kuhakikisha anaingilia kati kila mara hali hiyo inapotokea&#8230;&#8230;.."

What we are learning there, is that there is an emerging culture of judicial malpractice and the nation has to cling upon the CJ's personal morality to right the wrongs&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;a sign that judicial institutions are too effete to correct themselves without unnecessary interventions from the most senior member of the judiciary&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..

We know the outgoing CJ was no an angel as exhibited by the legal howler he unleashed upon us on "independent candidates" but his three and half years as CJ can not and should not, by any stretch of imagination, be taken for granted&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..

The incoming putative CJ will lord upon us for seven long years given he was born in 1952 and he still has those seven years before he clocks 65&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..that is interesting, why CJ Ramadhan was appointed while his appointer knew he was going to last for a mere three and half years&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;that his influence is gonna be rinsed away within a short time by his successor&#8230;&#8230;&#8230;A Muslim, of course&#8230;..it was all part of JK's cunning calculations&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;to ensure a future CJ was going to be empathetic to his dear cause of re-instituting the Kadhi Courts in our social order&#8230;&#8230;.

At High Court, one advocate whose private firm was doing barely okay was quickly indented into the Bench, and with such alacrity was exalted to be Jaji Kiongozi ..............and the only memorable judicial contribution from him was to overturn the magistrates' Courts decision that had condemned one skullcap defiant wearing Muslim in a courtroom despite several magisterial orders to doff off his skullcap had met deaf ears&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.the good Magistrate applied the law to the letter and ordered the daredevil to be incarcerated for a reasonable period&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;Our Jaji Kiongozi had different ideas when he freed the scofflaw........just to snub at what he viscerally perceived as Christianity laws that are demeaning Islam.........................

The new Jaji Kiongozi corrected the sentence by setting free that swashbuckler setting off leeway for future scofflaws to contempt the courts&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.in a process&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;Thanks to his timely intervention&#8230;&#8230;&#8230;.Thereafter, the good Jaji Kiongozi has gone to sleep.................awaiting Kadhi Courts before he comes out alive and firing all four cylinders.......................In protection of Islam against the hegemony of infidels...............

With JK's final contribution to our national largess likely being the reintroduction of Kadhi Courts, it is too overt that his new CJ pick was guided and inspired by religious considerations needed to defuse and scuttle any anticipated court action geared to strike out new contemplated laws behind the Kadhi Courts&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..I read no other motive, I am afraid&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.

Where the courts need someone who is a renown unifier given the factions now threatening their smooth run, JK brought in someone who is least aware of the courts' actual needs&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.The new CJ is likely to be least revered given most of judicial appointments and promotions under JK are devoid of merits but well informed and embroidered by nepotism and cronyism&#8230;&#8230;&#8230;.let alone religious considerations for the purposes of pushing JK's parochial agendas&#8230;&#8230;&#8230;Kadhi Courts&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..

But the good news are JK is not and will never be the Almighty God and one day he will join past presidents whose mark in our state of affairs remain too tiny to entice meaningful historical interpretations&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..In days to come, we will be free of JK's tyranny&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;

Well written but with all respect I do disagree with the last para. When JK is gone, he will still be a burden to poor Tanzanians, we will still be pay taxes just to continue feeding him and his family just as we do now to the so called the retired. Although it might seem a stretch but it is worth pointing out that he will remain our burden for good.

I chose to comment on that and ignore the religious thing as it very controversial as always especially now with all discussions going on about the Kadhi thing, every government decision will be question on those backgrounds.
 
The elect is behind mahakm ya kadhi.................us wait if presidents can be agaist all people who are agaist this islamic move
 
Back
Top Bottom