KADHI COURTS have emboldened JK’S new CJ pick..............

nyie mambo ya mahakama ya kadhi hayawahusu kaa kimya! mahakama ya kadhi inawahusu waislam tuu nyie hofu yeno ninini?. ila mkienda kuwafanyia uhalifu waislam hapo itamshughulikia yeote, kwani mtu akitoka tanzania akaenda kuiba zimbabwe akishikwa kule kesi itafanyika zimbabwe au tanzania?

Tatizo ni pale PM Pinda anapoanza kuwa Sheikh wakati masheikh waliosomea wapo tele!
 
There you go kumbe malengo yenu ndio hayo kalaghabao basi for your information waislamu wamejiandaa hata kama angelikuwa CJ muislamu au mkristo katika swala la kadhi time will tell.

Hiyo mbeleko wabeba ya nini na mtoto hajazaliwa yakhe?
 
Hiyo mbeleko wabeba ya nini na mtoto hajazaliwa yakhe?

Muulize buchanan aliyetaka kuwahusisha waislamu na JK eti atawasaidia kuwapa mahakama ya kadhi you are dead wrong kila kitu kitaenda kwa mpangilio na sio kwasababu fulani yuko ikulu. Ingelikuwa Tanzania nchi ya kikristo hilo ni swala jengine but kama tanzania yetu sote wait and see
 
nyerere_1954.jpg


What is so odd here?
 
Swala la mahakama ya kadhi halifahamiki na walio wengi. Wengi wanadhani kuwa mahakama hii ipo kutekeleza maswala ya ndoa pekee. Wanahitaji kufahamu kuwa hii ndiyo mahakama inayosikika mara kwa mara ikiwahukumu watu kifo kwa mambo yenye utatya mkubwa na uvunjifu wa haki za binadamu nchi mbalimbali. Umefika wakati tuelimishane juu mahakama ya kadhi, na ni kwa nini kwa Tz haifai kamwe kufadhiliwa na serikali ambayo haina dini. Nitarejea na mchanganuo unaoonyesha jinsi mahakama ya kadhi kama ikitekeleza majukumu yake kwa mujibu wa taratibu za kiislamu isivyoendena na serikali isiyo na dini. Nawaomba na wengine mchangie kuelimisha umma juu ya jambo hili, sio jambo la kupuuza hili, litatumbukiza nchi pabaya. Ukweli ni kwamba kwa serikali kufadhil mahakama ya kadhi kwa mazingira ya Tz ni kuvunja katiba, na kutaleta machafuko nchini.
 
Mahakama ya Kadhi iruhusiwe tu kama vile zilivyorusiwa seminari za kikristo na NGOs mbali mbali tu za kiislam na kikristo...........Hakuna haja ya kugombana katika hili...........cha msingi tu hizi mahakama ziwekewe mipaka ilizisije zikaingiliana na mahakama zilizopo kama vile kwenye kuhukumu wezi,wanzinzi, walevi nk..........Kwani si zitakuwa zinajiendesha kwa michango ya waislam wenyewe???...........hakuna haja ya kugombana hapa, ila kama zitategemea kodi zetu hapo hapana
 
Wewe ina kuhusu nini? kama wewe ni muIslam utajuwa manufaa yake, kama si muIslam huna cha kuelewa kwani bado mpaka leo unakubali 3 = 1

Hizi mahakama zitagharamikiwa na nani???...........kama ni kwa gharama zenu waislam hakuna tatizo...........ila kama mtataka zitegemee kodi za wananchi hata wasio waislam, hapo tegemeeni upinzani..
 
Nicky, kama wangekuwa wanataka mahakama hizi zimilikiwe na ziendeshwe na mfuko wa waislamu wenyewe, na kwa maswala maalum tu bila kuingilia mamlaka ya mahakama isingekuwa taabu hata kidogo. Tunachopigia kelele ni kwamba wanataka mahakama hizi ziendeshwe na kodi ya wananchi, tena ziwe chini ya serikali. Yaani serikali ijihusishe na mambo ya dini kinyume na katiba. Hapo ndipo ugomvi ulipo. Si unaona bunge liliruhusu mahakama hiyo iwe mikononi mwa waisalmu wenyewe na ikakataa isiwe serikalini, lakini waislamu wakapinga?
 
Nicky, kama wangekuwa wanataka mahakama hizi zimilikiwe na ziendeshwe na mfuko wa waislamu wenyewe, na kwa maswala maalum tu bila kuingilia mamlaka ya mahakama isingekuwa taabu hata kidogo. Tunachopigia kelele ni kwamba wanataka mahakama hizi ziendeshwe na kodi ya wananchi, tena ziwe chini ya serikali. Yaani serikali ijihusishe na mambo ya dini kinyume na katiba. Hapo ndipo ugomvi ulipo. Si unaona bunge liliruhusu mahakama hiyo iwe mikononi mwa waisalmu wenyewe na ikakataa isiwe serikalini, lakini waislamu wakapinga?

Kama hivi ndivyo basi shughuli ipo...........na serikali itakapokuwa imeruhusu jambo hili ni wazi kuwa watakuwa wanakaribisha mgogoro ambao hautakuwa na ufumbuzi.................waislam kama wanataka mahakama ya kadhi iwepo hilo hakuna shida lakini waziendeshe wenyewe kwa michango yao lakini sio waje wategemee na kodi za wale wasiokuwa wa imani yao............serikali iruhusu mahakama hii iwepo kisheria lakini iiwekee mipaka na serikali isihusike katika kuifanance kwa sabb ni kwa manufaa ya kidini na serikali haina dini, basi wale wanaotaka iwepo wajiandae kuifance waop wenyewe...
 
Inaonekana Mahakama hii nitishio kwa wakristo na wengine wa dini zingine, je hii mahaka ina athari gani kwa sisi tusio waislamu? je tatizo kubwa ni kwamba fedha za umma ndio zita tumika kuendesha au ni nini kinachotutisha?

Mimi na dhani iletwe tuu hii mahakama , maana kama kuchapwa viboko wanao vaa suruali , kukatwa mikono wanao iba, ni hao hao waislamu, sasa je sisi itatutishia nini ? , nadhani ni kwa manufaa yao zaidi na washabiki wengi ambao ni waislamu nadhani itawashindwa na kukimbilai USA or UK kuomba hifadhi, kitu ambacho sidhani kama mahakama hii inaweza kuwa that barbaric namna hiyo kwa wakati huu wa sasa.
 
Mahakama ya Kadhi iruhusiwe tu kama vile zilivyorusiwa seminari za kikristo na NGOs mbali mbali tu za kiislam na kikristo...........Hakuna haja ya kugombana katika hili...........cha msingi tu hizi mahakama ziwekewe mipaka ilizisije zikaingiliana na mahakama zilizopo kama vile kwenye kuhukumu wezi,wanzinzi, walevi nk..........Kwani si zitakuwa zinajiendesha kwa michango ya waislam wenyewe???...........hakuna haja ya kugombana hapa, ila kama zitategemea kodi zetu hapo hapana

Mahakama ya kadhi ni muhimili wa sheria utaanzishwaje kama NGO this is non sense. Sikubaliani na wewe kwani kama mahakama za sasa zimeshindwa kusaidia kesi za waislamu na kuziacha zikilundikana huko mahakamani kwani basi wasiruhusu hizi mahakama zikafanya kazi nchini. Pili kodi nikuulize swali vizuri kwani kodi Tanzania wanalipa wakristo!!!!!!! Jibu likiwa hapana then kodi hiyo hiyo wapo waislamu pia wanalipa na hivyo basi mahakama ya kadhi italipiwa na serikali period
 
Kama hivi ndivyo basi shughuli ipo...........na serikali itakapokuwa imeruhusu jambo hili ni wazi kuwa watakuwa wanakaribisha mgogoro ambao hautakuwa na ufumbuzi.................waislam kama wanataka mahakama ya kadhi iwepo hilo hakuna shida lakini waziendeshe wenyewe kwa michango yao lakini sio waje wategemee na kodi za wale wasiokuwa wa imani yao............serikali iruhusu mahakama hii iwepo kisheria lakini iiwekee mipaka na serikali isihusike katika kuifanance kwa sabb ni kwa manufaa ya kidini na serikali haina dini, basi wale wanaotaka iwepo wajiandae kuifance waop wenyewe...

Hapa sasa ndio tunaingia katika mjadala mrefu na mara nyingi mnashindwa na kuishia kukashifu uislamu hebu tuambieni nini definition ya serikali haina dini? Ikisha mkitoka hapo mtuambie vp pale serikali inapokuwa na mahusiano na taasisi ya kiroho kama Vatican je haivunji principals zake kuwa haina dini? Tatu mtujulishe ni kwa vp serikali inapoamua kutoa favours kwa kanisa kwa kutoa misamaha ya kodi huku wengine wakiwa hawana habari halafu mnadai serikali haina dini? Mkimaliza mtujulishe inakuwaje sheria za nchi zinafavours zaidi wakristo (kwasababu asili yake zimetokea kwenye common laws, canon laws) na kuwaacha waislamu wakiwa baadhi ya vipengele wanakuwa wanatengwa. Mkimaliza hapo ndio tuje sasa kukaa meza moja na kutuimbia serikali haina dini otherwise mie naona it is absolutely load of crap!!!!
 
Wala mkuu waislamu wamesoma wakaelemika kila kitu kinaenda by the book mkuu. Hizo ni fikra zenu JK ni rais wa watanzania na sio waislamu acheni kumtia doa na chuki zenu dhidi ya uislamu.

:embarrassed:Wala hatumtii doa. |Anayoyafanya yanatuashiria kuwa anajitia doa mwenyewe. Ukiangalia KEY appointements zake ni Waislam na hii si ajali. Mifano hii hapa:
Wizara ya Fedha- Mustafa
Wizara ya Ulinzi- Hussein
Wizara ya Ndani- Nahodha
Wizara ya Afya- Mwislam
Wizara ya Mawasiliano ( ambampo uchakachuaji wa IT unafanyika na matusi kwa Dr Slaa hayakushughulikiwa)-
TISS- Othman
CJ- Othman
Jaji Kiongozi-Mwislam

Alafu analalamika ya kuwa kuna UDINI, kumbe anatuhadaa kuficha UDINI wake uliokithiri!!!
 
:embarrassed:Wala hatumtii doa. |Anayoyafanya yanatuashiria kuwa anajitia doa mwenyewe. Ukiangalia KEY appointements zake ni Waislam na hii si ajali. Mifano hii hapa:
Wizara ya Fedha- Mustafa
Wizara ya Ulinzi- Hussein
Wizara ya Ndani- Nahodha
Wizara ya Afya- Mwislam
Wizara ya Mawasiliano ( ambampo uchakachuaji wa IT unafanyika na matusi kwa Dr Slaa hayakushughulikiwa)-
TISS- Othman
CJ- Othman
Jaji Kiongozi-Mwislam

Alafu analalamika ya kuwa kuna UDINI, kumbe anatuhadaa kuficha UDINI wake uliokithiri!!!
hebu tupe wakati wa nyerere na mkapa. lkn waislam sasa si wamesoma? au mnataka muongoze wakiristo tu?
 
Kama kawaida wanajf tunaendelea kuwa na mawazo ya kizamani ya kupika imani badala ya utendaji maana suala la dini si kigezo chochote. Jaji mkuu mpya kuwa muislam Sioni tatizo lolote maana ana sifa stahili. Pili ieleweke kwamba Jaji mkuu siyo anayeanzisha mahakama ya kadhi. Hiyo ni kazi ya bunge na serikali. Kazi ya mahakama ni utafsiri Wa lilopitishwa na bunge na serikali
 
Sheer nonsensical arguments. You guys know nothing about this new CJ. Your phobia against his faith has become the basis for his "ineligibility" to hold the post. Shame on you!
 
nyie mambo ya mahakama ya kadhi hayawahusu kaa kimya! mahakama ya kadhi inawahusu waislam tuu nyie hofu yeno ninini?. ila mkienda kuwafanyia uhalifu waislam hapo itamshughulikia yeote, kwani mtu akitoka tanzania akaenda kuiba zimbabwe akishikwa kule kesi itafanyika zimbabwe au tanzania?

Mahakama za Kadhi zisingekuwa zinatusumbua kama JK asingelikuwa anataka kuziingiza katika muundo wa Mahakama zetu za kawaida na hivyo kudai matumizi ya Hazina ambayo sehemu kubwa wachangiaji wake wala siyo waislamu...........................

Na udini kuingizwa kwenye dola ni maandalizi maalumu ya kuliletea taifa hili umwagaji damu......angalia jimbo la Jos kule Nigeria wana sharia na damu kila siku ndiko inamwagika..........................lakini kusiko na sharia mambo ni shwari..........................
 
Back
Top Bottom