Habari Zilizopatikana toka Kwa kachero wa JF ni kuwa wafanyakazi wa KADCO na KIA kwa Ujumla watagoma kuanzia Ijumaa Hii Kushinikiza Uongozi Kushughulikia kwa haraka malalamiko yao ya muda mrefu ya Mishahara, Posho na Maslahi mbalimbali ambayo uongozi umekuwa ukipuuza kuyafanyia kazi kwa kipindi kirefu sasa.
Wana JF mwenye Data zaidi Azirushe!!
Wana JF mwenye Data zaidi Azirushe!!