Kadandia mtumbwi wa vibwengo.

Kadandia mtumbwi wa vibwengo.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Jamaa#1;John mjinga sana,kaniudhi mno!. Jamaa#2;Vp,kulikoni tena?.>>>>>>> Jamaa#1;Aargh,si ameiba namba ya simu ya demu wangu kutoka kwenye simu yangu!.>>>>>> Jamaa#2;Mnh,nini kilichoendelea baada ya hapo?.>>>> Jamaa#1;Anamtumia demu wangu message za mapenzi ila hajui kama ile ni namba ya dada yake!
 
Mbaya zaidi dada mtu anajibu ki-mahaba na yeye. tehe tehe tehe............:lol::lol:
 
Hapo ndipo utapojua umuhimu wa kuwa na namba za simu za ndugu zako! Inaonyesha huyu jamaa hakuwa na namba ya dada yake
 
Back
Top Bottom