PostGE2025 Kada wa CCM, Dkt. Marcossy: Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi

PostGE2025 Kada wa CCM, Dkt. Marcossy: Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Anasema wakishapitia kwenye mchujo kisha hupendekezwa majina manne kisha kupeleka kwa Rais ili akateue jina moja ,sindiyo?

Swali, Huyo Rais sindiye nane atakaekua kuwa mgombea ? Na huyo Mwenyekiti au wajunbe wa tume sindiyo hao watakaokuja kuwa na mamlaka ya kumtangaza mshindi ambaye kwa mamlaka yao kikatiba wakishamtangaza mshindi hapaswi kupingwa popote .

Tuje nyuma kidogo , inamaana Dokta ameshindwa kabisa kuona kuwa kitendo cha Rais kuwa na mamlaka ya kufanya uteuzi wa mtu / watu watakaobeba hatima yake nikitendo chenye mgongano wakimaslahi?

Hivi nikweli watu wanakubali kuzibaka taaluma zao kwasababu ya mkate ,

Guys seriously? 🤣🤣
Huyo Marcus ni kama amepishana na wakati, watoto wa mjini wanasema kupishana na gari la mshahara. Na huko ccm Marcus anaaminika sana, ila nilimpuuza sana jana alipokuwa anasema cdm wamekosea sana kutoshiriki uchaguzi, na eti usiposhiriki uchaguzi chama kinakuwa dhaifu. Nilishindwa kujua yeye kweli na elimu yake ameshindwa kusoma alama za nyakati? Kati ya ACT ama Chauma nk vilivyoshiriki uchaguzi, ni kipi kitakuwa na nguvu kuliko cdm leo hii ukifanyika uchaguzi wa kweli?
 
Msikilize kada wa CCM, Dkt. Albanie Marcossy akieleza kwanini CHADEMA hawakushiriki uchaguzi Mkuu 2025 eti anadai "Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi"

Soma: Dkt. Albanie: Polepole anataka kuharibu Uchaguzi, apuuzwe

Kweli CDM nidhaifu mbele ya CCM hii? ambayo inaogopa reforms ili kipute kipigwe bila makando kando. Watu kama hawa wanatakiwa wavuliwe na huo u-Dkt.

wasenge kama Hawa ni wakuchinja tuu
 
Ametafuta cheo lwa nguvu kakosa muda mrefuu, sasa kaona analakuongea ili akumbukwe.

Huyo hana jipya ndio " sink tank" wao.

Soon mtasikia kawa DC, maana kina julius mtatilo na kina msando walianza hivyo hivyo.
 
Msikilize kada wa CCM, Dkt. Albanie Marcossy akieleza kwanini CHADEMA hawakushiriki uchaguzi Mkuu 2025 eti anadai "Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi"

Soma: Dkt. Albanie: Polepole anataka kuharibu Uchaguzi, apuuzwe

Kweli CDM nidhaifu mbele ya CCM hii? ambayo inaogopa reforms ili kipute kipigwe bila makando kando. Watu kama hawa wanatakiwa wavuliwe na huo u-Dkt.

Hawa Wajinga wote ambao wanaongea maaneno ya KUUDHI DHIDI YA UMMA, waorodheshwe D9 ni kupita kuwasalimia ili kukomesha kabisa ujinga wao.
 
Siyo Chadema tu Watanzania wengi hawakushiriki huu upuuzi. kwa nchi nzima watu waliojitokeza kupiga kura hawazidi milioni tatu
 
Back
Top Bottom