Tunawakaribisha na wengine. Nape vipi, fanya maamuzi fasta.
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.
Aliombwa na Mbowe kugombea ubunge 2010 akakataa ila naona sasa amekubali rasmi kuwa kamanda. Anakubalika sana kwa umma. Jimbo hilo ni lake 2015.