Kaburi Pale Bustani ya Samora

Kaburi Pale Bustani ya Samora

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
7,521
Reaction score
6,517
Naomba kujuzwa, huwa naona kitu kama kaburi ndani ya bustani iliyo pembezoni mwa Samora Avenue karibu na JMall/Harbour View, hilo kaburi linatunzwa vizuri sana. Kama ni kaburi kweli, je ni kaburi la nani?
 
Yalikuwa makaburi mengi pale ualipohamisho hilo yu ndio lilishindikana kuhama ndipo serikali ikaamua libakie tu hapo nila madhara
 
Yalikuwa makaburi mengi pale ualipohamisho hilo yu ndio lilishindikana kuhama ndipo serikali ikaamua libakie tu hapo nila madhara

lilishindikana kuhamishwa kivip mkuu?em funguka hapo kwa sisi tusio kuwa na uelewa kuhusu hilo tukajifunza kutoka kwako.
 
Lile ni kaburi la mzee dar es salaam.alikuwa mzee maarufu sana akiishi.ingia Google search kaburi la mzee dar es salaam.
 
Naomba kujuzwa, huwa naona kitu kama kaburi ndani ya bustani iliyo pembezoni mwa Samora Avenue karibu na JMall/Harbour View, hilo kaburi linatunzwa vizuri sana. Kama ni kaburi kweli, je ni kaburi la nani?

Na wewe kwa makaburi...Inaonekana wewe hata ukiulziwa utaje methali moja, utasema " adhabu ya kaburi aijuae maiti"
 
Jina lake aliitwa "mzee daresalama"kipi hujaelewa?tatizo lenu nyie wakuja.hamju historia ya hapa.hata kaburi la mzee mwenge hamjui liko wapi.hata marehemu mzee shekilango hamumjui.ahh rudini kwenu bara huko
 
Jina lake aliitwa "mzee daresalama"kipi hujaelewa?tatizo lenu nyie wakuja.hamju historia ya hapa.hata kaburi la mzee mwenge hamjui liko wapi.hata marehemu mzee shekilango hamumjui.ahh rudini kwenu bara huko
We pimbi kweli, sasa tutajua vipi kama ninyi msio wa kuja hamuelezi?! Halafu usidhani kila mtu anayeuliza humu yuko Dar, kilaza mkubwa.
 
wanipe mimi tenda ya kuhamisha.natafuta vijana tuna gonga mnyama pale pale kisha tunaingia mzigoni "Nothing imposible under the sun "bana
 
Basi ndiyo mjue.kuna kaburi la mzee dar esalam,kuna kaburi la mzee mwenge na alhaji shekilango.ikutoshe tu kuna kaburi la sharifu huko mtoni.
 
wanipe mimi tenda ya kuhamisha.natafuta vijana tuna gonga mnyama pale pale kisha tunaingia mzigoni "Nothing imposible under the sun "bana

Tutafute siku mkuu tupitie kiti moto ya kutosha tukalie juu ya kaburi! Majini Makatta, Maimuna yote yatakimbilia uarabuni
 
Back
Top Bottom