Kabudi kwenye Dual citizenship

Kabudi kwenye Dual citizenship

Swali moja Kenya wamewezaje waziri? Mbona hatuoni hayo majanga

Andika waliyoweza huko Kenya tukisikiliza tujue lengo la uzi wako.

Najua kuna vipengeli wengi hamna muda kuvisoma na kuelewa bali mnakazania tu Kenya Kenya..
 
Wakenya walishaweza tangu siku nyingi. Sio lazima wawe raia kwetu na hata sasa hawajanyimwa kuwa raia
 
Swali moja Kenya wamewezaje waziri? Mbona hatuoni hayo majanga
Mkuu, hii ishu sahau. Tumeikataa na hata hao wanapitaka wameshindwa kushawishi kwa nini wapewe uraia pacha. You are either with us or against us, no in between!
Alafu walichoweza wakenya ebu tuwekee hapa.
 
Mkuu, hii ishu sahau. Tumeikataa na hata hao wanapitaka wameshindwa kushawishi kwa nini wapewe uraia pacha. You are either with us or against us, no in between!
Alafu walichoweza wakenya ebu tuwekee hapa.
Kasome katiba yao.
 
Uraia pacha hauna madhara,tatizo letu bado tuna Imaginary enemies,..bado kuna watendaji wa vijiji huko vijijini wanaamini kabisa kuwa Makaburu watakuja kutuvamia siku moja hahahaa!!
 
Uraia pacha hauna madhara,tatizo letu bado tuna Imaginary enemies,..bado kuna watendaji wa vijiji huko vijijini wanaamini kabisa kuwa Makaburu watakuja kutuvamia siku moja hahahaa!!
Hauna madhara ila pia faida zake ni nini? Kwa previledges watakazopewa kwa kuwa na asili ya Tz watakosa nini cha maana watakacho.
 
Swali moja Kenya wamewezaje waziri? Mbona hatuoni hayo majanga
Hili suala la kua na dual citizenship lilianzishwa na chama cha upinzani Chadema 2005 pamoja na sera za kua na majimbo lipo kwenye sera za Chadema ,CCM walivyoona wakataka kulidandia tu lakini sio lao naona linawashinda,kama una mawazo kua kutakua na dual citizenship chini ya CCM labda mjisahaulishe tu labda chance ni 40%,labda Raisi aweke maamuzi yake,nafikiri linalosababisha kushindikana huko ni umwagaji damu wakati wa mapinduzi ZNZ hilo nalo bado linawasumbua,wanahisi wenye haki bado wako Oman watarudi kudai chao,lakini ni woga tu wa CCM sbb kama waliporwa wakiamua kudai hata sasa bado wanaweza tu kurudi hata kwa nguvu na kudai chao, bila kua na hiyo uraia pacha "haya ni mawazo yangu tu"
 
Diaspora jana mmeniangusha hamkuuliza maswali mazito kwa waziri.

Mifano:
1. Kwann jiwe anafanya manunuzi bila kufuata taratibu?

2. Kwann jiwe anakataza shughuli za vyama vya siasa kinyume na matakwa ya katiba?
 
Hauna madhara ila pia faida zake ni nini? Kwa previledges watakazopewa kwa kuwa na asili ya Tz watakosa nini cha maana watakacho.
Kuna zaidi ya watanzania milioni unusu wanaoishi nje ya mipaka,watakuja kuwekeza nyumbani kuna wengine wanafanya kazi kwenye high tech companies wanajua know how..kuna faida nyingi nyingi sana.
 
Kuna zaidi ya watanzania milioni unusu wanaoishi nje ya mipaka,watakuja kuwekeza nyumbani kuna wengine wanafanya kazi kwenye high tech companies wanajua know how..kuna faida nyingi nyingi sana.
Sasa kikwazo ni nini? Inakuaje mwarabu wa dubai anaweza kuwekeza hapa Tanzania alafu huyo ashindwe?
 
kJZWYia.gif

Nimecheka sana,kwa hiyo Prof.Kabudi anawaogopa Wanyarwanda?!ndio sababu ya kukataa uraia pacha?!
Anyway! Mtanzania yeyote ni raia pacha kwani ni muungano wa nchi mbili.
 
Mkuu, hii ishu sahau. Tumeikataa na hata hao wanapitaka wameshindwa kushawishi kwa nini wapewe uraia pacha. You are either with us or against us, no in between!
Alafu walichoweza wakenya ebu tuwekee hapa.
Huyu waziri anasema eti tukitoa uraia pacha itabidi tueape na wenzetu wa Africa mashariki uraia sasa mbona katiba ya Kenya ina uraia pacha lakini hatuoni hayo... ukisema tu sahau hilo bado sio jibu la swala ni hasira zetu kama kawaida. Lakini hapa sio kukasirika bila msingi weka mbele fikra za nchi na acha fikra zao za emotional 😭 tatizo tunafanya maanuzi kihasiri na sio strategic
 
Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi uraia pacha ni ruksa. Hivyo kwenye EAC Tanzania tu ndio imetia ngumu kwa raia wake kuwa na uraia pacha.
 
Back
Top Bottom