King Mbappe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 1,195
- 2,057
na maswali kama haya wanaume tupunguze kuwajibia wanawake. inabidi wao wenyewe waseme what do they have to offer.
Mnataka tu kufaya maisha kuwa magumu, would that virgin lasts forever?? Mbona mkishaitoboa mnaenda tena tafuta mali mpya??
Mwanamke anapaswa awe smart upstairs, really smart..!!
that's obviously, a smart woman can do better than that Capital."runs her own business"
That's the most important thing I needed to hear
Kuna sababu nyingi sana za mwanamke kumsaliti mumewe,Mbona nyinyi hata mkiolewa na vibopa bado mnaenda kuwavulia vyupi wasaka tonge.
Mambo vp mpenziDone
absolutely Cole, as we have different perceptions on the way of observing things.!!And being Smart upstairs can be different from one person to another the way they see Smartness .
Good Moral, know how to connect properly.. and whole the knowledge needed to treat a man. What elsethat's obviously, a smart woman can do better than that Capital.
absolutely Cole, as we have different perceptions on the way of observing things.!!
Kuna majibu nataka kusikia hapa,.. lakini huzuni kiasi gani?!na maswali kama haya wanaume tupunguze kuwajibia wanawake. inabidi wao wenyewe waseme what do they have to offer.
Kuwa msaidizi manake yeye pia anapaswa kufanya kazi , anawezaje kuwa msaada kama hafanyi kazi??Hawa nao ni watu ila twawachukulia kama sio watu.
Mpango wa Mungu ulikuwa sahihi sema sisi wanaume kutofanya majukumu yetu kwa ufasaha na usahihi, tamaa za shetani ndio sababu twataka na wao wawe na kitu wakati Mungu aliwaumba kama wasaidizi wetu kwani wawili ni bora kuliko mmmoja
Kwani mkiwa wawili mmmoja akidondoka mmoja atamsaidia amka
😂😂😂😂😂watatoa povuuUwezo wa kuspend hizo hela za mshahara, na kufanyia hiyo nyumba usafi, na awe na leseni ya kuendesha hilo gari.
Kupiga nayo pichaKwa ajili ya nini?
Si anakuja kukusaidia kwa kila ambacho umekianza?Kuwa msaidizi manake yeye pia anapaswa kufanya kazi , anawezaje kuwa msaada kama hafanyi kazi??
Yeah I know but you must have other things tooSi anakuja kukusaidia kwa kila ambacho umekianza?
Uwezo wa kuspend hizo hela za mshahara, na kufanyia hiyo nyumba usafi, na awe na leseni ya kuendesha hilo gari.


Hatri sana.JamaniiiiUwezo wa kuchomoa betri zoote za huyo mwanaume iwe mahusiano baina yake na familia,ndugu marafikina jamaa








Uwezo wa kuchomoa betri zoote za huyo mwanaume iwe mahusiano baina yake na familia,ndugu marafikina jamaa

watu mna utani wa ngumi haki