Kabla ya kupandisha kodi ya majengo, TRA waliwashirikisha wadau?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Kama utaratibu ndio huu wa Mtu anajiamkia alfajiri na kuamua kutangaza kupanda kwa kodi ya majengo bila kushirikisha wadau basi ni hatari.

Je, sababu za msingi za kupandisha hiyo kodi ni nini?

Je, ni huu Ugonjwa wa COVID-19 au?

Vita vya Urusi na Ukraine?

Wananchi tunaombwa tuambiwe.

jamiiforums_1690401094536324.jpg
mwananchi_official_1690402265776419.jpg
 
Kama utaratibu ndio huu wa Mtu anajiamkia alfajiri na kuamua kutangaza kupanda kwa kodi ya majengo bila kushirikisha wadau basi ni hatari.

Je, sababu za msingi za kupandisha hiyo kodi ni nini?

Je, ni huu Ugonjwa wa COVID-19 au?

Vita vya Urusi na Ukraine?

Wananchi tunaombwa tuambiwe.

View attachment 2700586View attachment 2700587
Tusiwe wepesi wa kulaumu ivi vitaasisi bila jua wajibu wao au wapi chanzo cha haya mambo. Juzi tu bunge limeisha watu busy na simba na yanga mpaka mshahara wa Mayele au Messi watu tunaijua ila likija swala la maisha yetu hakuna anayefatilia nini kesho kitatokea.TRA wao wameambiwa tu watakusanya hiyo kodi sasa unawalaumu nini wao wamekuja elezea kuwa kwa sasa watatubana kodi kwa kiwango hicho.Tunatakiwa kaa na wabunge wetu tuwaeleze haya ila kwa tra ni kuwaonea na hawana cha kufanya tu.
 
Back
Top Bottom