Kabla na baada ya ndoa

Mkataba wa hisia huwa haudumu, ni utapeli..!
Natafuta ajira alishatufundisha sana hili jambo. Kwamba Mwanamke kitu pekee anachowekeza kwako ni hisia tu amazo hubadilika kulingana na hali, wakati, na mazingira na ndio maana hawaoni hatari kuachana.

Wakati mwanaume umewekeza kwake muda, pesa, uchumi, mipango, familia.

Hawa watu hamwezi kuwa sinia moja
 
Natamani hii picha ya AI iwe ndiyo picha yako halisi, maana imesadifu stori yako😆😆.

Ijapo haujatupa stori ya chanzo cha mahusiano yenu kimapenzi, lakini nahisi ulitegeshewa ili kubebeshwa majukumu!

Wenzetu hawa wana akili sana, unaigiziwa hadi unajaa, jamani nyie!

Kwetu wadau ukitufikishia ishu za namna hiyo usitegemee 'negatives' toka kwetu mazee, haturuhusiwi!

Kilichobakia mbele yako ni kufanya maamuzi binafsi kama yale uliyofanya 'kuvuta jiko'!

Wee fikiria mwanamke alikuwa ni single mom, af'ukajishitukia upo naye kwenye ndoa, wadhanini ishu ndogo hiyo ya kuishauri kichwa kichwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…