Kabla hatujamhukumu Halima Mdee na wenzake, kuna yeyote kati yenu atagoma ikiwa atateuliwa na Rais kwenye nafasi zake?

Kahawa na kashata tu za Ikulu zilibadili Msimamo wote wa Kamati kuu ya Chadema enzi zile za Makamanda wakiwa makamanda kweli!
 
Tatizo ni hizo bangi-bangi na kale katabia ka wawili! Haitakuwa mfano mbaya kweli kwa wa-TZ?
 
Kila uliowahi kuwaamini kama viongozi wako waliishia kukudisapointi, ni kwa vile huwa wanachukua hadi nafasi ya kufikiria kwa ajili yako.

Jiruhusu kutumia akili yako kama unayo, au lah wote utawaona wasaliti.
Waliowahi kunidissapointi ni viongozi wezi wa CCM na wapuuzi wanaotoa hoja dhaifu za upambe kama zako
 
When an empty brain tryn’ to sound intelligent!
I might be empty brain but you are an idiot
DEFINITION of IDIOT is KNOWING the TRUTH
SEEING the TRUTH and STILL BELIEVING the LIES
Ni mpumbavu kama wewe ambae hajaona uchafuzi ulioitwa uchaguzi
Pathetic fool
 
I might be empty brain but you are an idiot
DEFINITION of IDIOT is KNOWING the TRUTH
SEEING the TRUTH and STILL BELIEVING the LIES
Ni mpumbavu kama wewe ambae hajaona uchafuzi ulioitwa uchaguzi
Pathetic fool

I never argue with a fathead fool, people might not notice the difference!
 
Hii kitu nimewaza Sana.. huenda pia kama kungekuwa na vitu maalum kwa wanaume tingeshuhudia maajabu zaidi ya kina halima
 
Mwambieni jiwe amteue lisu mbunge wa kuteuliwa kama lisu atakubali, wapuuzi wakubwa nyie.

Mnafikiri binadamu wote ni wasaliti na wananjaa kama nyie, pumbav.
Mnaweweseka tu, akina mama wamewashinda mnakimbilia kwa huyo mbwatukaji. HAKUNA mwenye shida na huyo shoga ni wenu huyo huko chadema, CCM hawana shida na wakimbizi.
 
Kwisha habari yenu nyumbu, act hawataki shirikiana nanyi, afu unashobokea ccm, wenyewe tu chadema hamshirikiani.
Woi, marehemu hakukosea kuwaita nyumbu.
Mataga mtaharisha ugoro wote ila wasaliti tunawatimua waje wawaongoze huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…