Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni hizo bangi-bangi na kale katabia ka wawili! Haitakuwa mfano mbaya kweli kwa wa-TZ?Rejea tena kichwa cha mada hapo juu.
Muda unakimbia kwa kasi na mengi yanatokea na kupita, kumbukumbu huwa zinabaki.
Huenda sina kumbukumbu za kutosha, lakini kwa kadri ya 'hansadi' zangu sikumbuki mtu aliyewahi kuteuliwa kwenye ulaji na akagoma ili kulinda kile kinachoitwa msimamo wa chama.
Kama yupo/wapo basi tukumbushane, na pia tuhusianishe sababu zao kugomea uteuzi na mazingira halisi ya nyakati zao.
Ninaowakumbuka mimi ni wale waliokuwa mstari wa mbele, lakini ghafla wamekuwa watiifu na wachapakazi kweli kweli.
Mifano ipo mingi, sina haja kuitaja hapa labda ikihitajika.
Sasa basi, mara paap Rais JPM akaamua kuwajumuisha kwenye serikali yake hawa watu ambao leo wanaonekana mwiba na mahiri kuwashambulia wabunge walioapishwa.
Ni nani atagoma?
Hakuna asiyeijua njaa ilivyo kali huku nchi kavu, nguvu ya mamba ni maji. Sio Halima pekee mwenye njaa au hicho kinachoitwa tamaa, pengine tunawaonea wivu kwamba ni ganda la ndizi.
Yule mtu angeweza kususia uteuzi na awe wa kwanza kuwanyooshea kidole hawa wabunge.
Ncha kali.
Waliowahi kunidissapointi ni viongozi wezi wa CCM na wapuuzi wanaotoa hoja dhaifu za upambe kama zakoKila uliowahi kuwaamini kama viongozi wako waliishia kukudisapointi, ni kwa vile huwa wanachukua hadi nafasi ya kufikiria kwa ajili yako.
Jiruhusu kutumia akili yako kama unayo, au lah wote utawaona wasaliti.
I might be empty brain but you are an idiotWhen an empty brain tryn’ to sound intelligent!
I might be empty brain but you are an idiot
DEFINITION of IDIOT is KNOWING the TRUTH
SEEING the TRUTH and STILL BELIEVING the LIES
Ni mpumbavu kama wewe ambae hajaona uchafuzi ulioitwa uchaguzi
Pathetic fool
Kesho utakuja na utopolo gani baada ya kushindwa kuwafukuza bawacha uwanachama?Mataga kaeni mkijua hao wapuuzi kesho tunawatimua na hatuko tayari kushirikiana na serikali fedhuli ya CCM.
And I will never argue with a fool he ll pull you down to his level and beat you with experience.I never argue with a fathead fool, people might not notice the difference!
Wewe hoja yako ya kipumbavu nimekupuuza mapema, hoja isiyoweza kutolewa na mwenye akili bali wapambe wapumbavuWewe ni mpuuzi tu huna hoja, nakupuuza rasmi sasa.
Upumbavu hauwezi kukuacha salama, huwezi kudiscredit taasisi iliyojengwa kuwa tegemeo kwa miaka mingi na hoja za kufurahisha LumumbaFurahi basi umeshinda, tukutane kesho pale Ufipa!
Mnaweweseka tu, akina mama wamewashinda mnakimbilia kwa huyo mbwatukaji. HAKUNA mwenye shida na huyo shoga ni wenu huyo huko chadema, CCM hawana shida na wakimbizi.Mwambieni jiwe amteue lisu mbunge wa kuteuliwa kama lisu atakubali, wapuuzi wakubwa nyie.
Mnafikiri binadamu wote ni wasaliti na wananjaa kama nyie, pumbav.
Wale wabunge viti maalum wanatumikia serikali gani we nyumbu pingapinga Fc?Hata Kima hawezi kukubali teuzi katika serekali khanithi ya CCM
Mataga mtaharisha ugoro wote ila wasaliti tunawatimua waje wawaongoze huko.Kwisha habari yenu nyumbu, act hawataki shirikiana nanyi, afu unashobokea ccm, wenyewe tu chadema hamshirikiani.
Woi, marehemu hakukosea kuwaita nyumbu.