Kabila lako ni mwanadamu. Usiwe na kabila lingine. Tatizo la Dunia hii ndio hilo,kwamba watu wanagawanyika kwa kufuata kabila,dini,Utaifa. Lazima tuwe na falsafa au dini ,au Chama cha Siasa,ambacho kinawaleta watu pamoja kufanya kazi kwa ushirikiano.