y-n
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,391
- 2,514
Acha mibangi.
Mibangi inatatizo gani kwani.!?
Kwani unajua tofauti kati ya dini na kabila?
Hebu nipe maana halisi ya dini na kabila.
Acha mibangi.
Wewe ni jinga tangu lini uislamu ukawa kabila? Elewa swali kabla ya kujibu sio kukurupuka kama mlenda.
Sio kabila
Kubwa jinga umeulizwa kabila na sio dini
Hasa hawa wanaooa wanawake wengi wanapata faida gani hasa?
Labda waislam wanaweza wakawa na majibu kuhusu hili.