GE2025 Kabati: Rais umetibu ndoa zetu

GE2025 Kabati: Rais umetibu ndoa zetu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilolo, Ritta Kabati, amesema utekelezaji wa sera ya Rais Samia Suluhu ya kumtua mama ndoo kichwani, umechangia kuokoa ndoa nyingi, baada ya serikali kufanikisha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi.
 
Screenshot_20250906-195521.png
 
Hii nchi ina wasengerema wengi sana, ipo siku mtu atamshukuru huyo mama kwa kuweza kushika mimba
 
Back
Top Bottom