Acha ujinga kwani modem ni mali ya tigo, voda, Airtel....kwan lazma uchakachue hyo modem, ulinunua ya nn kama huwez kuilipia? watu wengine bwana, wamekalia ufisadi tuuuu....si lazma ukombe mabilioni BOT au uchukue rushwa au utoe ushinde uchaguzi, hata huo ni ufisadi na wizi! kama huna pesa ya kulipia gharama za modem itupe tu.
kama hauna point na haulijua swali wala kitu kilichoulizwa ni bora ukale ulojo au hizo vocha kawasiliane na mpenzi wako.. shabashi
Finally,nimepata suluhisho kwa walioniponda nimewasamehe kwa walio niunga mkono tuko pamoja na ndo natumia ku post now kwa bomba7 sasa
kwan lazma uchakachue hyo modem, ulinunua ya nn kama huwez kuilipia? watu wengine bwana, wamekalia ufisadi tuuuu....si lazma ukombe mabilioni BOT au uchukue rushwa au utoe ushinde uchaguzi, hata huo ni ufisadi na wizi! kama huna pesa ya kulipia gharama za modem itupe tu.