hao watanga ni wazembe...et askr anaenda kula chips na silaha tena nyt...mh...wawaulize hao hao askar shudu
Askari mzima unakula chips?
hao watanga ni wazembe...et askr anaenda kula chips na silaha tena nyt...mh...wawaulize hao hao askar shudu
watu mmezidi ulalamishi. mkilindwa mnalia msipolindwa mnalia vile vile. sasa sijui mfanyiwe nini.
Upuuzi mtupu! kutafuta silaha zilizoporwa siyo kazi ya JWTZ bali kazi ya polisi wenyewe.
Kazi hasa ya usalama wa nchi na wananchi ni wale jamaa wa usalama wa taifa na sio JWTZ wala police ingawaje police wana kitengo cha CID.
Halafu hao jamaa mbona bunduki wameshika tofauti, kofia wamevaa tofauti, kweli wameiva hawa?!
Ukiona unalalama na kuhofu hivi utakuwa jambazi au unandugu yako jambazi kwahiyo unajua yatamkuta matifu haya.
Polisi kazi imewashinda basi geshi ra porishi rivunjwe jumla
Upuuzi mtupu! kutafuta silaha zilizoporwa siyo kazi ya JWTZ bali kazi ya polisi wenyewe.
Wapi jwtz wametoa tamko kama kichwa cha habari kinavyonadi?mods futeni uzi huu
Jeshi la wananchi nchini (JWTZ) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama nchini limeahidi kukabiliana na makundi ya watu wanaodaiwa kuwa majambazi sugu ambao wanapora silaha za askari huku wengine wakiuawa hatua ambayo imeanza kutishia usalama wa nchi.
Akizungumza na jijini tanga kufuatia hivi karibuni makundi hayo kupora silaha na kisha kuua askari huko rufiji mkoani pwani na wengine wakipora askari wawili silaha nyakati za usiku jijini tanga na kisha kuwadhuru hatua ambayo imesababisha kulazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa tanga bombo,katibu mkuu wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa JOB MASIMA amesema vyombo vya ulinzi vitakaa na kuhakikisha kuwa mtandao huu unapatikana ili kurejesha silaha hizo.
Hata hivyo katibu mkuu amekana vikali kuwa huenda makundi haya ya uhalifu yanayojihusisha na kupora silaha askari kwa na wahitimu waliopitia mafunzo ya jeshi la kujenga taifa JKT ambao baadhi yao hawakupata ajira baada ya kurudu uraiani na kuongeza kuwa hata wanaojihusisha na ugaidi sio wote ambao wamepitia mafunzo ya kijeshi.
Watanzania watu wa ajabu sana, jeshi linataka kusaidia upatikanaji wa silaha kwa kutambua kwamba kuna uwezekano wahusika wa tukio ni watu ambao wamepata mafunzo ya kijeshi, ni vigumu kwa afisa wa polisi kudhibiti. Mnataka kuleta siasa.
Kwanza wakarudishe wanyama hai waliopelekwa Doha-Qatar, wakishindwa wahakikishe pesa za Escrow zinapatikana kwakuwa wahusika wote wanafahamika, wakimaliza huko hao JWTZ ndio waje na huo upuuzi wanaotaka kutuletea!