JWTZ wanapokea Barua kwa EmS?

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,070
Naomba Kujua Wandugu, Kuna Kijana wangu, ambae namsaport, Hili Tangazo la JWTz La Kuandikisha Watoto, nataka Kujua kama Wanapokea Barua kwa Njia ya Ems au, Kwa Mkono tu yaani apeleke mwenyewe Dodoma.

Maana naona kutumia kwa Njia ya kawaida naona kama itachelewa kufika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…