Nakubaliana nawewe ila kipengele kimoja tu, kwamba kwavile huoni kitisho chakuvamiwa na Wareno na SA unahisi jeshi halinakazi tena ya ulinzi na badala yake unataka jeshi lifanye shughuli nyengine, hapa kwa mtazamo wangu hauko sawa, jeshi linakiwa kuwa active muda wote kwani adui hakuletei barua.