JWTZ na kiapo cha kuilinda katiba wanatumika kutetea maslahi ya CCM lakini vipengele hivi wao hawavioni

JWTZ na kiapo cha kuilinda katiba wanatumika kutetea maslahi ya CCM lakini vipengele hivi wao hawavioni

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
3,146
Reaction score
6,008

1. Haki ya Uhai – Ibara ya 14

“Kila mtu anayo haki ya kuishi…”
Ikiwa kuna mauaji, matumizi kupita kiasi ya nguvu, au vifo visivyoeleweka vinavyotokana na vyombo vya dola—hili linagusa moja kwa moja Ibara hii.


2. Haki ya Usalama wa Binafsi – Ibara ya 15

Inakataza:

  • Kutesa
  • Kuteka
  • Kufungwa kiholela
Utekaji au kushikiliwa bila kufuata taratibu za kisheria ni uvunjaji wa ibara hii.


3. Haki ya Uhuru wa Kujieleza – Ibara ya 18

Ikiwa watu wanazuiwa kuongea, kukosoa, au kueleza maoni yao bila sababu za msingi za kisheria, hii ni kinyume na Katiba.


4. Haki ya Kushauriana na Kukusanyika – Ibara ya 20

“Kila mtu anayo haki ya kukusanyika na kuanzisha au kujiunga na chama au shirika…”
Kuzuia maandamano ya amani bila sababu halali za kisheria, au kutumia nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji, kunahusiana na ibara hii.


5. Haki ya Kushiriki katika Utawala – Ibara ya 21

Wananchi wana haki ya kushiriki katika uongozi na kuchagua viongozi kwa njia ya uhuru.
Hii inagusa:

  • Uchaguzi huru na wa haki
  • Upigaji kura bila vitisho
  • Utoaji wa matokeo bila upotoshaji
  • Kutoingiliwa kwa tume ya uchaguzi

6. Usawa Mbele ya Sheria – Ibara ya 13

Inasema:

  • Hakuna mtu anayeweza kubaguliwa
  • Sheria inatakiwa kuwa sawa kwa wote
Ikiwa vyombo vya dola vinatumika upande mmoja au kama sheria hazitumiki kwa usawa, hii ni kinyume na Katiba.


7. Wajibu wa Vyombo vya Dola – Ibara ya 26

Inasema:

  • Kila mtu (pamoja na vyombo vya usalama) wana wajibu kuheshimu na kufuata katiba na sheria.
Vyombo vya dola vikikiuka haki za raia, hii yenyewe ni kuvunja Katiba.


8. Uhuru wa Habari na Upatikanaji wa Taarifa – Ibara ya 18(d)

Kudhibiti taarifa, kufungia vyombo vya habari, au kuzuia waangalizi wa uchaguzi kunagusa haki hii.


9. Utawala Bora – Ibara ya 8 na 9 (misingi ya dola)

Inataka:

  • Uwajibikaji
  • Uwajibishaji wa viongozi
  • Kuheshimiwa kwa haki za binadamu
  • Serikali kusikiliza matakwa ya wananchi
Iwapo maamuzi ya serikali hayazingatii haya, misingi ya katiba inakuwa imekiukwa.


Hitimisho la Jumla

Kwa hivyo, katika mazingira ambapo:
  • wananchi wanatishiwa au kushambuliwa wakidai haki,
  • maandamano ya amani yanakomeshwa kwa nguvu,
  • uchaguzi hauna uwazi,
  • au vyombo vya usalama vinatumia nguvu kupita kiasi,
katika muktadha wa Katiba ya Tanzania, vipengele vinavyoweza kuonekana kuathiriwa kwa siku za karibuni ni:

✔ Ibara 14 (Haki ya kuishi)
✔ Ibara 15 (Usalama wa mtu)
✔ Ibara 18 (Uhuru wa kujieleza)
✔ Ibara 20 (Haki ya kukusanyika)
✔ Ibara 21 (Haki ya kushiriki utawala)
✔ Ibara 13 (Usawa mbele ya sheria)
✔ Ibara 26 (Wajibu wa kuheshimu Katiba)
✔ Ibara 8–9 (Misingi ya utawala bora)

Vipengele vyote hivi havikuwa na maana kwao, Ila Uchaguzi mkuu na masuala ya haki za kupiga kura ili CCM iendelee kuwepo madarakani kwao ikawa kipaumbele muhimu sana. Unaweza kuona aina ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo.
 
Mange analaumiwa na wapenda haki kwa sababu aliwadanganya vijana wa Gen Z akiwaambia nyinyi ingieni barabarani hao wanajeshi wapo upande wenu, akisahau kwamba wanajeshi wanaapa kumlinda Amiri Jeshi Mkuu.

General Mkunda anaweza kuwa analipwa kwa mwezi shilingi milioni 25 mpaka 30, anayesaini ili apate mshahara wake ni Rais Samia, hawezi akaacha kumtii bosi wake akamsikiliza Mange anayeishi California.

Mkunda alipata nafasi ya kuongoza jeshi baada ya Mabeyo kustaafu, Samia akamuuliza Kikwete ampe nani nafasi ya kuongoza jeshi Kikwete akamtajia jina la Mkunda. Vigumu sana Mkunda kutowaheshimu Kikwete na Samia halafu akamheshimu mwanaharakati wa kule USA.

Zoezi la kuiangusha CCM kupitia siku ya tarehe 29 October lilikutana na ugumu wa JWTZ kuwa upande wa waandamanaji, vijana walikwenda kwa hisia pasipo kwanza kuweka sawa suala la msingi ambalo ni kujihakikishia kwanza kwamba wanaungwa mkono na taasisi nyeti ya Jeshi.

Vijana wanafanya makosa kuanza kulikebehi Jeshi kwa makosa yao wenyewe.
 
Mange analaumiwa na wapenda haki kwa sababu aliwadanganya vijana wa Gen Z akiwaambia nyinyi ingieni barabarani hao wanajeshi wapo upande wenu, akisahau kwamba wanajeshi wanaapa kumlinda Amiri Jeshi Mkuu.

General Mkunda anaweza kuwa analipwa kwa mwezi shilingi milioni 25 mpaka 30, anayesaini ili apate mshahara wake ni Rais Samia, hawezi akaacha kumtii bosi wake akamsikiliza Mange anayeishi California.

Mkunda alipata nafasi ya kuongoza jeshi baada ya Mabeyo kustaafu, Samia akamuuliza Kikwete ampe nani nafasi ya kuongoza jeshi Kikwete akamtajia jina la Mkunda. Vigumu sana Mkunda kutowaheshimu Kikwete na Samia halafu akamheshimu mwanaharakati wa kule USA.

Zoezi la kuiangusha CCM kupitia siku ya tarehe 29 October lilikutana na ugumu wa JWTZ kuwa upande wa waandamanaji, vijana walikwenda kwa hisia pasipo kwanza kuweka sawa suala la msingi ambalo ni kujihakikishia kwanza kwamba wanaungwa mkono na taasisi nyeti ya Jeshi.

Vijana wanafanya makosa kuanza kulikebehi Jeshi kwa makosa yao wenyewe.
Mmhhhh...
Aliwadanganya how?
Sijaona mange akilaumiwa ila nimeona watu wakililaumu jeshi direct ....
Uzuri mange alikuwa wazi tangu mwanzo na jumbe za wanajeshi aliziweka baadhi wakimhakikishia awaambie vijana wako pamoja, na ht siku ya tukio mapema befire net haijazimwa tuliona wanajeshi road wakywa na waandamanaji...

Okay kisa unalipwa mil30 ndo uwe tayari mauaji yale yatokee? Like seriously?
Basi watz wako sahihi hatuna jeshi

Watz wamewadharau wanajeshi mno
 
Mmhhhh...
Aliwadanganya how?
Sijaona mange akilaumiwa ila nimeona watu wakililaumu jeshi direct ....
Uzuri mange alikuwa wazi tangu mwanzo na jumbe za wanajeshi aliziweka baadhi wakimhakikishia awaambie vijana wako pamoja, na ht siku ya tukio mapema befire net haijazimwa tuliona wanajeshi road wakywa na waandamanaji...

Watz wamewadharau wanajeshi mno
Kwa mujibu wa analysis, jwtz hawawezi kupindua meza,
Ila kuna kikosi Fulani ndio Wana uwezo wa kupindua meza muda wowote Yan 😂.

Na Ndio walio wafungia jwtz kwenye makambi yao bila kutoka, 29 oct.
 
Kwa mujibu wa analysis, jwtz hawawezi kupindua meza,
Ila kuna kikosi Fulani ndio Wana uwezo wa kupindua meza muda wowote Yan 😂.

Na Ndio walio wafungia jwtz kwenye makambi yao bila kutoka, 29 oct.
Kazi ipo wenye uwezo hawana resources
Hao unaosema wanakula nao ndo shida
 
Mange analaumiwa na wapenda haki kwa sababu aliwadanganya vijana wa Gen Z akiwaambia nyinyi ingieni barabarani hao wanajeshi wapo upande wenu, akisahau kwamba wanajeshi wanaapa kumlinda Amiri Jeshi Mkuu.

General Mkunda anaweza kuwa analipwa kwa mwezi shilingi milioni 25 mpaka 30, anayesaini ili apate mshahara wake ni Rais Samia, hawezi akaacha kumtii bosi wake akamsikiliza Mange anayeishi California.

Mkunda alipata nafasi ya kuongoza jeshi baada ya Mabeyo kustaafu, Samia akamuuliza Kikwete ampe nani nafasi ya kuongoza jeshi Kikwete akamtajia jina la Mkunda. Vigumu sana Mkunda kutowaheshimu Kikwete na Samia halafu akamheshimu mwanaharakati wa kule USA.

Zoezi la kuiangusha CCM kupitia siku ya tarehe 29 October lilikutana na ugumu wa JWTZ kuwa upande wa waandamanaji, vijana walikwenda kwa hisia pasipo kwanza kuweka sawa suala la msingi ambalo ni kujihakikishia kwanza kwamba wanaungwa mkono na taasisi nyeti ya Jeshi.

Vijana wanafanya makosa kuanza kulikebehi Jeshi kwa makosa yao wenyewe.
Wanakula kiapo kuilinda KATIBA na kumtii amiri jeshi, sio kumlinda amiri jeshi.
 
Mmhhhh...
Aliwadanganya how?
Sijaona mange akilaumiwa ila nimeona watu wakililaumu jeshi direct ....
Uzuri mange alikuwa wazi tangu mwanzo na jumbe za wanajeshi aliziweka baadhi wakimhakikishia awaambie vijana wako pamoja, na ht siku ya tukio mapema befire net haijazimwa tuliona wanajeshi road wakywa na waandamanaji...

Okay kisa unalipwa mil30 ndo uwe tayari mauaji yale yatokee? Like seriously?
Basi watz wako sahihi hatuna jeshi

Watz wamewadharau wanajeshi mno
Jeshi linaapa kumlinda Rais, linaapa kuilinda Katiba ya nchi ambayo Rais pia anaapa kuilinda.

Jeshi haliapi kumlinda Mange na mipango yake haramu ambayo iliwadanganya vijana.

Utakuwa huna elimu ya kutosha kuanza kulilaumu jeshi eti kwanini halikufanya usaliti, sio kazi yao kwenda kinyume na matakwa ya Amiri Jeshi Mkuu ambaye pia ni Rais wa JMT.

Tarehe 9 Desemba walikuwa wanataka mjichanganye tena, walikuwa wanataka muingie kwenye 18 zao, mngepewa zawadi tamu sana ya Uhuru.
 
Mange analaumiwa na wapenda haki kwa sababu aliwadanganya vijana wa Gen Z akiwaambia nyinyi ingieni barabarani hao wanajeshi wapo upande wenu, akisahau kwamba wanajeshi wanaapa kumlinda Amiri Jeshi Mkuu.

General Mkunda anaweza kuwa analipwa kwa mwezi shilingi milioni 25 mpaka 30, anayesaini ili apate mshahara wake ni Rais Samia, hawezi akaacha kumtii bosi wake akamsikiliza Mange anayeishi California.

Mkunda alipata nafasi ya kuongoza jeshi baada ya Mabeyo kustaafu, Samia akamuuliza Kikwete ampe nani nafasi ya kuongoza jeshi Kikwete akamtajia jina la Mkunda. Vigumu sana Mkunda kutowaheshimu Kikwete na Samia halafu akamheshimu mwanaharakati wa kule USA.

Zoezi la kuiangusha CCM kupitia siku ya tarehe 29 October lilikutana na ugumu wa JWTZ kuwa upande wa waandamanaji, vijana walikwenda kwa hisia pasipo kwanza kuweka sawa suala la msingi ambalo ni kujihakikishia kwanza kwamba wanaungwa mkono na taasisi nyeti ya Jeshi.

Vijana wanafanya makosa kuanza kulikebehi Jeshi kwa makosa yao wenyewe.
Majesh yote UVCCM
 
Jeshi linaapa kumlinda Rais, linaapa kuilinda Katiba ya nchi ambayo Rais pia anaapa kuilinda.

Jeshi haliapi kumlinda Mange na mipango yake haramu ambayo iliwadanganya vijana.

Utakuwa huna elimu ya kutosha kuanza kulilaumu jeshi eti kwanini halikufanya usaliti, sio kazi yao kwenda kinyume na matakwa ya Amiri Jeshi Mkuu ambaye pia ni Rais wa JMT.

Tarehe 9 Desemba walikuwa wanataka mjichanganye tena, walikuwa wanataka muingie kwenye 18 zao, mngepewa zawadi tamu sana ya Uhuru.
Kwahiyoo mange ndo kauwawa?
Kumbe halina maana basi km hsliwezi kulinda wananchi na rasilimali !

Kwanza hatuna jeshi upuuzi tu
 
D
Jeshi linaapa kumlinda Rais, linaapa kuilinda Katiba ya nchi ambayo Rais pia anaapa kuilinda.

Jeshi haliapi kumlinda Mange na mipango yake haramu ambayo iliwadanganya vijana.

Utakuwa huna elimu ya kutosha kuanza kulilaumu jeshi eti kwanini halikufanya usaliti, sio kazi yao kwenda kinyume na matakwa ya Amiri Jeshi Mkuu ambaye pia ni Rais wa JMT.

Tarehe 9 Desemba walikuwa wanataka mjichanganye tena, walikuwa wanataka muingie kwenye 18 zao, mngepewa zawadi tamu sana ya Uhuru.
Duu tunasafari ndeefu sana kwa akili hizi aisee...
 
Uzuri ni kwamba, wameanza kugeukana wao kwa wao (ccm)

Muda si mrefu tutaanza kusikia Milio kutoka ccm humo humo.
 

1. Haki ya Uhai – Ibara ya 14


Ikiwa kuna mauaji, matumizi kupita kiasi ya nguvu, au vifo visivyoeleweka vinavyotokana na vyombo vya dola—hili linagusa moja kwa moja Ibara hii.


2. Haki ya Usalama wa Binafsi – Ibara ya 15

Inakataza:

  • Kutesa
  • Kuteka
  • Kufungwa kiholela
Utekaji au kushikiliwa bila kufuata taratibu za kisheria ni uvunjaji wa ibara hii.


3. Haki ya Uhuru wa Kujieleza – Ibara ya 18

Ikiwa watu wanazuiwa kuongea, kukosoa, au kueleza maoni yao bila sababu za msingi za kisheria, hii ni kinyume na Katiba.


4. Haki ya Kushauriana na Kukusanyika – Ibara ya 20


Kuzuia maandamano ya amani bila sababu halali za kisheria, au kutumia nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji, kunahusiana na ibara hii.


5. Haki ya Kushiriki katika Utawala – Ibara ya 21


Hii inagusa:

  • Uchaguzi huru na wa haki
  • Upigaji kura bila vitisho
  • Utoaji wa matokeo bila upotoshaji
  • Kutoingiliwa kwa tume ya uchaguzi

6. Usawa Mbele ya Sheria – Ibara ya 13

Inasema:

  • Hakuna mtu anayeweza kubaguliwa
  • Sheria inatakiwa kuwa sawa kwa wote
Ikiwa vyombo vya dola vinatumika upande mmoja au kama sheria hazitumiki kwa usawa, hii ni kinyume na Katiba.


7. Wajibu wa Vyombo vya Dola – Ibara ya 26

Inasema:

  • Kila mtu (pamoja na vyombo vya usalama) wana wajibu kuheshimu na kufuata katiba na sheria.
Vyombo vya dola vikikiuka haki za raia, hii yenyewe ni kuvunja Katiba.


8. Uhuru wa Habari na Upatikanaji wa Taarifa – Ibara ya 18(d)

Kudhibiti taarifa, kufungia vyombo vya habari, au kuzuia waangalizi wa uchaguzi kunagusa haki hii.


9. Utawala Bora – Ibara ya 8 na 9 (misingi ya dola)

Inataka:

  • Uwajibikaji
  • Uwajibishaji wa viongozi
  • Kuheshimiwa kwa haki za binadamu
  • Serikali kusikiliza matakwa ya wananchi
Iwapo maamuzi ya serikali hayazingatii haya, misingi ya katiba inakuwa imekiukwa.


Hitimisho la Jumla

Kwa hivyo, katika mazingira ambapo:
  • wananchi wanatishiwa au kushambuliwa wakidai haki,
  • maandamano ya amani yanakomeshwa kwa nguvu,
  • uchaguzi hauna uwazi,
  • au vyombo vya usalama vinatumia nguvu kupita kiasi,
katika muktadha wa Katiba ya Tanzania, vipengele vinavyoweza kuonekana kuathiriwa kwa siku za karibuni ni:

✔ Ibara 14 (Haki ya kuishi)
✔ Ibara 15 (Usalama wa mtu)
✔ Ibara 18 (Uhuru wa kujieleza)
✔ Ibara 20 (Haki ya kukusanyika)
✔ Ibara 21 (Haki ya kushiriki utawala)
✔ Ibara 13 (Usawa mbele ya sheria)
✔ Ibara 26 (Wajibu wa kuheshimu Katiba)
✔ Ibara 8–9 (Misingi ya utawala bora)

Vipengele vyote hivi havikuwa na maana kwao, Ila Uchaguzi mkuu na masuala ya haki za kupiga kura ili CCM iendelee kuwepo madarakani kwao ikawa kipaumbele muhimu sana. Unaweza kuona aina ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo.
kila mtu ana haki ya kuishi na sio kila mhalifu
 
Kumbe wewe mpuuzi kabisa,kuandamana ni kuchezea jeshi?
Unaambatana vipi huku ukichoma vituo vya mafuta na mabasi ya watu?.

Unaambatana vipi huku ukitaka kuchoma miundo mbinu ya mwendo kasi?.

Mlitaka kuichoma Tanzania na kuirudisha miaka 40 nyuma, bahati nzuri vijana wengi wameushtukia ushenzi wenu.
 
Iv wale jamaa wanasoma katiba kweli au wanajua kulinda kitabu tu
 
Back
Top Bottom