JWTZ latangaza ajira mpya

JWTZ latangaza ajira mpya

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
428
Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania limetangaza nafasi za kazi jeshini kwa vijana wakitanzania wenye umri usiozidi miaka 25 wenye elimu ya kidato cha nne na cha sita.

Uandikishwaji huo utahusisha pia vijana waliopokatika kambi za jeshi la kujenga taifa JKT na waliopata mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.

Habari hiyo imetolewa na kaimu mkurugenzi wa habari na uhusiano makao makuu ya jeshi la JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda .
IMG_2533.jpeg
IMG_2534.jpeg
 
Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania limetangaza nafasi za kazi jeshini kwa vijana wakitanzania wenye umri usiozidi miaka 25 wenye elimu ya kidato cha nne na cha sita.

Uandikishwaji huo utahusisha pia vijana waliopokatika kambi za jeshi la kujenga taifa JKT na waliopata mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.

Habari hiyo imetolewa na kaimu mkurugenzi wa habari na uhusiano makao makuu ya jeshi la JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda .
Jeshi la Wakurya Tanzania (JWTZ)
 
Maombi yanatumwa kwa njia gani?
Posta au online, kama ni online ni kwa email/ tovuti ipi?
 
nchi hii usiiamini. kama wanasema sativa alijiteka toka dar kwenda "malawi" akijipiga risasi , akajileta barabarani asiliwe na wayama pori, lolote usiliamini
🤣🤣 Kwann kaka mbona huna Imani na serikali ya nchi yako?
 
Jamani naomba kuuliza hizi ajira za JWTZ zilizotoka mwezi uliopita bado awajatoa majina,nipeni lonjaaa wakuu🙌
 
Back
Top Bottom