Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Naomba kumpa ushauri Rais Magufuli, kwa muda mrefu wafanyakazi wa Bandari wametuzingua sana, sasa ikibidi kabidhi Bandari kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania angalau kwa miaka 2-3 walete ufanisi na kukusanya kodi na ushuru inavyostahili.