haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,832
- 4,627
Jmani ndiyo taaluma yao hiyo? Mbona tunakurupuka tu.Kwa hiyo jeshi wakikabidhiwa TPA au TRA umeambiwa huko kuna Rigwaride na kupiga mizinga.Tutoe mawazo yenye akili kdg siyo pumba
Mkuu wewe ndio unaongea pumba kama ujui jeshini hakuna taaluma isiyokuwepo kuna wasomi wana elimu na weledi wa kutosha na lengo la kuwatumia hawa jamaa ni kwamba kwenye kazi wanafanya kazi na wanajua kusimamia nidhamu ya kazi hakuna mda wa majungu wala siasa ni kazi tu. Au we unafikiri taaluma gani ambayo jeshini haipo?