luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Tangu kumekucha ni milio mikali ya ndege zinazofanyiwa mazoezi na Jeshi.
Hivi Hawatambui kuna wagonjwa mahospital na majumbani?
Imeshindikana vip kufanyia mazoezi yenu huko porini? Yani ukikaa kidogo unasikia sauti kali mno yani mie niliye mzima zinanipa shida hivi sasa najiuliza vipi kwa mgonjwa wa presha na wagonjwa wengine?
Hata kama ni kupata sifa, hamuoni pia sio salama kwa raia pia maana katika mazoezi kuna risk pia ya vyombo vyenu kufeli, itakuwaje ikitokea la kutoea mkaangusha hiyo midege mijini humu, ni vifo kiasi gani mtatutangazia?
Hivi Hawatambui kuna wagonjwa mahospital na majumbani?
Imeshindikana vip kufanyia mazoezi yenu huko porini? Yani ukikaa kidogo unasikia sauti kali mno yani mie niliye mzima zinanipa shida hivi sasa najiuliza vipi kwa mgonjwa wa presha na wagonjwa wengine?
Hata kama ni kupata sifa, hamuoni pia sio salama kwa raia pia maana katika mazoezi kuna risk pia ya vyombo vyenu kufeli, itakuwaje ikitokea la kutoea mkaangusha hiyo midege mijini humu, ni vifo kiasi gani mtatutangazia?