JWTZ Haya mazoezi yenu ya kurusha rusha ndege mngeyafanyia porini sio mijini

Wangeenda mbali na mji ingependenza.hata hapa Dar huwa wanafanya hivyo.Sio powa wangeenda ziwani huko wawe wanatest kuvikwepa na kuvizunguka visiwa vidogo kwa spidi ya 25000kph
[/Q
UOTE]
Wakifanyia polini Jiwe litajuaje uwepo wao?
 
!
Wenzako Wako Kwenye Drones Huko Na Ndege Zisizoonekana Kwa Radar Sisi Bado Kwenye Hizo Ambazo Hata Kabla Hazijapaa Unazisikia Zikiunguruma.

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Eti Mazoezi Dar
 
Tangu kumekucha ni milio mikali ya ndege zinazofanyiwa mazoezi na Jeshi.

Hivi Hawatambui kuna wagonjwa mahospital na majumbani?

Imeshindikana vip kufanyia mazoezi yenu huko porini? Yani ukikaa kidogo unasikia sauti kali mno yani mie niliye mzima zinanipa shida hivi sasa najiuliza vipi kwa mgonjwa wa presha na wagonjwa wengine?

Hata kama ni kupata sifa, hamuoni pia sio salama kwa raia pia maana katika mazoezi kuna risk pia ya vyombo vyenu kufeli, itakuwaje ikitokea la kutoea mkaangusha hiyo midege mijini humu, ni vifo kiasi gani mtatutangazia?
Unaweza kuhisi ni mazoezi kumbe ndio unalindwa usishambuliwe... Tusipende kulaumu yasiyotuhusu.
 
Enyi wanajeshi, wana Mwanza tumewakosea nini?
Hivi ni halali kweli mnavyotufanyia tangia asubuhi ya leo hadi muda huu?
Mnaona raha gani kushtua watu na hiyo midege yenu ambayo sijui leo mko kwenye mazoezi au ni kitu gani. Ndege zinatoa milio ya kutisha. Halafu mnakwenda mnarudi.

Kumbukeni kuna wazee, wagonjwa walioko majumbani na mahospitalini, watoto wadogo nakadhalika.

Hivi hayo mazoezi hamuwezi kuyafanyia sehemu ambayo hakuna wanadamu?
Kuweni wastaraabu acheni kupasua watu mioyo yao!
Labda ungewaonesha hiyo sehemu ambayo hakuna wanadamu.
 
sometimes ni vizuri tuzoee hayo makelele ili siku kikija kunuka kweli tuwe tushazoea ..kisaikolojia itasaidia sana
 
Tangu kumekucha ni milio mikali ya ndege zinazofanyiwa mazoezi na Jeshi.

Hivi Hawatambui kuna wagonjwa mahospital na majumbani?

Imeshindikana vip kufanyia mazoezi yenu huko porini? Yani ukikaa kidogo unasikia sauti kali mno yani mie niliye mzima zinanipa shida hivi sasa najiuliza vipi kwa mgonjwa wa presha na wagonjwa wengine?

Hata kama ni kupata sifa, hamuoni pia sio salama kwa raia pia maana katika mazoezi kuna risk pia ya vyombo vyenu kufeli, itakuwaje ikitokea la kutoea mkaangusha hiyo midege mijini humu, ni vifo kiasi gani mtatutangazia?
Utamu wa JF ni kila mtu kuropoka tu.hizo ndege zinakwenda kasi kubwa ,fuel consuption yake pia ni kubwa na hivyo kuhitajika kurudi kila baada ya muda mfupi ili kufanya mechanical check up,pilots refresments na fueling pia.

Tuacheni kuwa wajuaji wa kila kitu,siku ikitokea vita nchi hii ndio utajua umuhimu wa hizo ndege.

Kipindi kifupi unapoziona zikipita hapo kwako na kurudi zinakuwa zimefika mwanza na kuzunguka nchi kwa kiasi kikubwa.
 
Labda ungewaonesha hiyo sehemu ambayo hakuna wanadamu.
Camp zote za kijeshi uhazishwa polin kutokana ukuwaji wa miji hujikuta kambi zimekaribiana na makazi ya raia mfano ndogo hata hapo lugalo kawe ulikuwa polini miaka ya kihenga na vizuri Sana kuwa karibu na kambai za kijeshi
 
Kuna VITA vya mjini my frnd. Tgt zingine ni majengo. Alafu wakati wa matatizo wakishindwa. Mtasema ooooo lieee laaaa
 
Back
Top Bottom