Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,286
- 13,858
Wangeenda mbali na mji ingependenza.hata hapa Dar huwa wanafanya hivyo.Sio powa wangeenda ziwani huko wawe wanatest kuvikwepa na kuvizunguka visiwa vidogo kwa spidi ya 25000kph
You are funny, ndege ifikishe speed ya 25,000kph? Hiyo imekuwa space shuttle kwenye orbit? Mnafurahisha. Mikedean VAR inakuhusu