mtoa uzi kachambia kijiko...katoka na mavi
nawapa pole kabisa juve kwa kipigo watakacho kipata
Haters kila siku hawataki kuukubali ukweli, lakini kwenye bet leo hakuna anayeweka hela yake kwa Juve, labda awe na ukichaa wa kuzaliwa nao.
Teh teh teh...kelele nyingiiii mmeishia kuchapwa...
Na bado ngoja tukiwafuata huko kwenu ni kibano kingine tena...
Shwaini kabisa hawa Madrid
Hawatoki hawa Juventus wakifika Santiago bernabeu
Homo Habilis nadhani unayakumbuka haya majadiliano yetu...Huu uzi utaendelea kuwepo mkuu na maandishi yetu pia...
Tusubiri muda ukifika...
nani kichaa hadi hapo mbona unajishushia heshima yako mkuu
If you wanna talk about football karibu. Tumecheza football, our rivals were very good in defencing. Tumeaga mashindano. Congratulation Juventus. See you next season.
Pogba hana thamani ya £60 Mil. Anacheza kama babu Uwanjani yaani faaaza kumbe toto tu.
Ha ha ha ha ha umekuwa mpole kama maji ya mtungini pole sana mtani
At the end of the day, there's only one winner. Hongera Juventus...!
At the end of the day, there's only one winner. Hongera Juventus...!
pole mkuu.Mie ndio natoka uvunguni.Ile amsha amsha yenu dk za mwanzo zimesababisha nishindwe kutazama gemu.Nilishikwa na tension mno wife akazima tv na kuniambia kuanzia leo haniruhusu tena kucheki game za Juve live.Nicheki recorded.Hivyo nasubiri irudiwe nitazame.Game ilikuaje mkuu?tumewezaje kulitoa dubwasha hili jamani jamani jamani?!
umepatwa na hofu ya bure madrid timu ya kawaida kwa sasa yani hawakujituma vya kutosha inaonekana wana mgogoro wa chinichini ngoja kuanzia sasa tutackia mengi ila juve walicheza vzur sana madrid yani bora wametoka maana wangeaibika mbeleni
hakika mkuuWacha tusubiri haya maneno yako yamebeba ukweli fulani manake kama ni mboga nyanya vitunguu mafuta vilikua havina muunganiko wenye kuleta ladha......
Huyu mtoa post kitakachombeba ni uwezo wake haramu wa kuwa na ID nyingi humu Jf, vinginevyo asingetoa haya majigambo na hasa ukizingatia historia ya Juve kwa Real M ktk Ucl.
Asanteni sana Vibebe kizee vya Turin kwa kuwanyamazisha hawa.
pole mkuu.Mie ndio natoka uvunguni.Ile amsha amsha yenu dk za mwanzo zimesababisha nishindwe kutazama gemu.Nilishikwa na tension mno wife akazima tv na kuniambia kuanzia leo haniruhusu tena kucheki game za Juve live.Nicheki recorded.Hivyo nasubiri irudiwe nitazame.Game ilikuaje mkuu?tumewezaje kulitoa dubwasha hili jamani jamani jamani?!