Mechi ilikuwa nzuri sana japo kadi nyekundu ilidhoofisha ushindani kwa wakati flani.
Real Madrid wamestahili ushindi wa mechi ya leo.
Sasa Juventus anamlima mkubwa pale Santiago bernabeu!!
Aliyeshinda na apongezwe hongera Real Madrid.
Mpira ni burudani Mpira ni furaha.
Usiku Mwema wote wapenda soka..One nation,One love,One Tz.