einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,672
Hegelianism ni mbinu iliyogunduliwa na mwanafalsafa wa kijerumani,Georg.w.hegel
njia hii hutumiwa na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani pamoja na mitandao mingi ya siri
msingi mkubwa wa mbinu hii ni huu;'akili ya mwanadamu haiwezi kutambua kitu,mpaka kitu hicho kigawanywe katika sehemu kuu mbili,'wema na uovu''
mbinu hii ina hatua kuu 3;
hatua ya 1;unatengeneza tatizo fake au propaganda,kisha unatumia mass-media kuisambaza
hatua ya 2;unasubiri mwitikio kutoka kwa watu ambao wewe uliutegemea
hatua ya 3;unatoa suluhisho ambalo uliliaanda kabla ya tatizo ili kutimiza lengo lako
mf;tunataka kuiba mafuta iraq,tukisema directly dunia itatushangaa,hivyo basi tunatengeneza propaganda mf;iraq wanatengeneza silaa za nyuklia kwa lengo la kuiangamiza dunia(propaganda inasambaa)
watu wana pata hofu na kuiomba marekani(mwenzetu)kutatua tatizo(mwitikio)
marekani inasema njia pekee ya kutatua tatizo ni kuivamia iraq(suluhisho)
lakini agenda iliyo nyuma ya suluhisho letu ni kuiba mafuta
asanteni!
njia hii hutumiwa na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani pamoja na mitandao mingi ya siri
msingi mkubwa wa mbinu hii ni huu;'akili ya mwanadamu haiwezi kutambua kitu,mpaka kitu hicho kigawanywe katika sehemu kuu mbili,'wema na uovu''
mbinu hii ina hatua kuu 3;
hatua ya 1;unatengeneza tatizo fake au propaganda,kisha unatumia mass-media kuisambaza
hatua ya 2;unasubiri mwitikio kutoka kwa watu ambao wewe uliutegemea
hatua ya 3;unatoa suluhisho ambalo uliliaanda kabla ya tatizo ili kutimiza lengo lako
mf;tunataka kuiba mafuta iraq,tukisema directly dunia itatushangaa,hivyo basi tunatengeneza propaganda mf;iraq wanatengeneza silaa za nyuklia kwa lengo la kuiangamiza dunia(propaganda inasambaa)
watu wana pata hofu na kuiomba marekani(mwenzetu)kutatua tatizo(mwitikio)
marekani inasema njia pekee ya kutatua tatizo ni kuivamia iraq(suluhisho)
lakini agenda iliyo nyuma ya suluhisho letu ni kuiba mafuta
asanteni!