Mi niliyoyaona sinza ijumaa sikuamini macho yangu what's long with dar
Sent using Jamii Forums mobile app
umetisha mwambaMi niliyoyaona sinza ijumaa sikuamini macho yangu what's long with dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo hapo chachaMimi kinachonishangaza ni kwanini sasa hao wanaovishwa pete wanavaa suruali na mashati..?
Ulichojibu hapa sense za ubongo wangu zimeniambia kwamba wewe ni huyo aliyesimama!
Tell us more nini hicho kilikuwa kinaendeleaMi niliyoyaona sinza ijumaa sikuamini macho yangu what's long with dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unaelekea hukohuko kama sio miongoni mwao.Aliyepiga goti kajazia huyo
Tundu Lissu kwenye BBC HardTalk ndiyo aliweka wazi msimamo wake/chadema kutetea mambo haya.Wana lengo la kupunguza utegemezi kwa wanawake.
Tuliza kipwinto dogo una kipele mku nduni nini?
Wanaume wanajiuza.ukipita wanakubinulia mimatako kama wanawake . nilikuwa sijawahi waona live Duu yaani sijui tabia hizo wamezitoa wao