Lyceum
JF-Expert Member
- Oct 1, 2009
- 1,046
- 568
Sawa kabisa vijana.
Tamasha la wasio na kazi litaiamsha serikali usingizini.
Jipangeni sawa sawa ili muwe na matawi mikoani, wilayani na ngazi ya kijiji.
Hii itakuwa jumuiya yenye nguvu sana Tanzania.
Hata wale walio na ajira isiyo rasmi, pia jiungeni.
Now, how to start and connect yourselves?- a challenge.....
Mkuu najua kuna changamoto nyingi ila nina imani kubwa sana na michango yenu hapa JF. Naamini nitafanikiwa kwa msaada wa michango yenu ya mawazo