Jumla ya vikosi vya kiusalama tanzania....

Jumla ya vikosi vya kiusalama tanzania....

Status
Not open for further replies.

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
7,234
Reaction score
12,813
Kila siku ni TISS tu ina maana tanzania tuna idara moja tu ya usalama??? Hivi hawa wakizidiwa inteligensia nani anawa back up??
Kuna idara ngapi???
Hivi idara gani ina utaalamu wa mambo ya teknolojia???

Kwa marekani unaweza kusikia vitu kama CIA, FBI, secret service, Jeshi la maji special force hawa ndio mwisho wa tatzo!!!
Je bongo kukoje??
 
Kila siku ni TISS tu ina maana tanzania tuna idara moja tu ya usalama??? Hivi hawa wakizidiwa inteligensia nani anawa back up??
Kuna idara ngapi???
Hivi idara gani ina utaalamu wa mambo ya teknolojia???

Kwa marekani unaweza kusikia vitu kama CIA, FBI, secret service, Jeshi la maji special force hawa ndio mwisho wa tatzo!!!
Je bongo kukoje??

Ukishajua itakusaidia nini? utafanya nini na huu ufahamu ulioupata baada ya kupata jawabu lako.Maisha yako yametengenezwa katika mfumo wa pembe tatu. NYUMBANI> KAZINI> BATA mpaka unazikwa, huko kwingine tuwaachie wao wanaokesha na kuamka kumake sure wewe unafanya hivyo vitu vyako kwa amani kabisa.! I love you Tz and 'am proud to be Tanzanian
 
Ukishajua itakusaidia nini? utafanya nini na huu ufahamu ulioupata baada ya kupata jawabu lako.Maisha yako yametengenezwa katika mfumo wa pembe tatu. NYUMBANI> KAZINI> BATA mpaka unazikwa, huko kwingine tuwaachie wao wanaokesha na kuamka kumake sure wewe unafanya hivyo vitu vyako kwa amani kabisa.! I love you Tz and 'am proud to be Tanzanian

Miguu umepewa utembelee na mikono ndio uandikie!
...
Kuwa na taasisi moja tu ya intelijensia ni mbaya kwa usalama wa Taifa!
 
Miguu umepewa utembelee na mikono ndio uandikie!
...
Kuwa na taasisi moja tu ya intelijensia ni mbaya kwa usalama wa Taifa!

Una uwakika gani kama kuna Taasisi moja tu ya Intelijensia katika taifa hili, au umetumwa kuja kutizama kilichopo maana siku hizi post za Usalama wa Taifa zinawekwa nyingi hapa sijui kwa lengo gani. Hii forum inasomwa na watu wengi dunia wakiwemo na wabaya wetu hivyo kama unataka kujua kwa undani zaidi chukua vitambulisho vyako nenda sehemu huska kaulize na utafahamishwa baada ya kuprove kwamba we ni Mtanzania na siyo hapa. Tuwe wazalendo na Tuipende nchi yetu. Huwezi mtangaza mke au demu wako unaelala naye kwa washikaji zako kijiweni kwa kusema kila kitu kilichopo katika mwili wake. Huo ni upuuzi!
 
Tukumbuke humu jamiiforum kuna watu wanafanya kazi hzo sehemu!! Tuweni makini
 
Una uwakika gani kama kuna Taasisi moja tu ya Intelijensia katika taifa hili, au umetumwa kuja kutizama kilichopo maana siku hizi post za Usalama wa Taifa zinawekwa nyingi hapa sijui kwa lengo gani. Hii forum inasomwa na watu wengi dunia wakiwemo na wabaya wetu hivyo kama unataka kujua kwa undani zaidi chukua vitambulisho vyako nenda sehemu huska kaulize na utafahamishwa baada ya kuprove kwamba we ni Mtanzania na siyo hapa. Tuwe wazalendo na Tuipende nchi yetu. Huwezi mtangaza mke au demu wako unaelala naye kwa washikaji zako kijiweni kwa kusema kila kitu kilichopo katika mwili wake. Huo ni upuuzi!

Hayo ndio maneno!
Lakini sio kusema mtu afatilie familia, kazi na bata!
 
Mhandisi Mzalendo#
lengo la kufahamu vikosi vya intelijinsia ni nini? jaribu kuanzisha moviment yeyote ya kuvuruga nchi then utajua idadi kamili.maana mfumo wa kiulinzi bongo upo vizuri. mkulima, mfugaji,machinga,dukani kwa masawe, fundi mchundo, vyuoni hadi ktk vigodoro wapo.
 
Si Jukumu lako kujua vikosi vya usalama viko vingapi, wewe elewa tu kwamba upo salama na familia yako na wananchi wote wa Tanzania!
 
Kila siku ni TISS tu ina maana tanzania tuna idara moja tu ya usalama??? Hivi hawa wakizidiwa inteligensia nani anawa back up??
Kuna idara ngapi???
Hivi idara gani ina utaalamu wa mambo ya teknolojia???

Kwa marekani unaweza kusikia vitu kama CIA, FBI, secret service, Jeshi la maji special force hawa ndio mwisho wa tatzo!!!
Je bongo kukoje??
kuna mgambo wa jiji wata backup , haya nenda kalale sasa.
 
yaaani kwa jinsi mnavyopost ni rahisi kujua nani ni nani, if ur smart enough!!
 
Tanzania ni moja ya nchi ambayo iko juu saana katika mambo ya usalama wa taifa. Hizo idara zako unazozitaja zimo ndani kwa ndani. Ukitaka kujua tuko je jaribu ujinga wako ndo utajifunza katika mazingira magumu.
 
Mbona mnatoka povu mara niishie kula bata mara itanisaidia nini...
Mbona tunaufahamu mkubwa kuhusu USA na wapo wazi why mnapenda mambo ya sirisiri tu afu utendaji F.....
Kujua ina maana kubwa sana kwangu maana nakatwa kodi kuwalipa hao...
 
Ukishajua itakusaidia nini? utafanya nini na huu ufahamu ulioupata baada ya kupata jawabu lako.Maisha yako yametengenezwa katika mfumo wa pembe tatu. NYUMBANI> KAZINI> BATA mpaka unazikwa, huko kwingine tuwaachie wao wanaokesha na kuamka kumake sure wewe unafanya hivyo vitu vyako kwa amani kabisa.! I love you Tz and 'am proud to be Tanzanian

Mbona umetoka povu mkuu....
Swali lipo wazi tu kuna idara ngapi za usalama Je kuna kitengo cha teknolojia kilichojizatiti kwa kila mbinu au wana deal na ze utamu tu !!! Ipo siku mtasikia watu wamehack central system ya BOT na kufanya yao ndio mtajua umuhimu wa hili swali...

Maana wabongo wengi tunapenda kujadili matukio badala ya kujadili solution na mipango ya kuzuia kitu falni kutokea hatuna strategies....
Kupenda penda matukio tu bila kuwa na mipango...
 
Tanzania ni moja ya nchi ambayo iko juu saana katika mambo ya usalama wa taifa. Hizo idara zako unazozitaja zimo ndani kwa ndani. Ukitaka kujua tuko je jaribu ujinga wako ndo utajifunza katika mazingira magumu.

Tungekua na idara imara haya matukio ya kila siku ya wizi ujambazi ufisadi usingekua unayasikia watu wangeshughulikia kuzuia si kushughulikia kuzima habari za matukio...
Usalama wa taifa usio na wataalamu wa uchumi teknolojia wao wanadeal na kulinda maslahi ya viongozi ni bure tu....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom