Jumla kuna njiti ngapi hapa?

Jumla kuna njiti ngapi hapa?

Mkuu nimekubali, ila nitaelewa baadaye. Ninaendelea kuviangalia hivyo vijiti na impangilio yake, na kutafuta hizo images kwa nini zitokelezee za mbili tu na zingine hata zilipo karibu zisitoe taswira. Taratibu nitaelewa tu. Tuko pamoja kiongozi.


Uko sawa mkuu............. Tabby
 
Back
Top Bottom