AWADHY
New Member
- Dec 8, 2011
- 1
- 0
Kweli dunia inapotezwa muelekeo wake na watu wachache wenye uwezo wa kupaza sauti zikasikika dunia nzima hasa nchi tajiri za jumuia ya madola hasa uingereza kutetea haki za mashoga pia hawajaishia hapo wanataka hadi kuzilazimisha nchi changa kukubali kwa kuzitishia kuzinyima misaada, marekani nayo imeunga mkono kwa kutenga fungu maalumu kwa ajili ya kampeni za kulinda na kutetea haki za mashoga. Ikumbukwe ile histolia ya sodoma na gomola kabla hatujafanya maamuzi magumu.
Mimi mwandishi wenu;
AWADHI CHANG'A
Mimi mwandishi wenu;
AWADHI CHANG'A