hujaeleza iko mkoa gani,au wilaya gani na mtaa gani
tueleze plz mkuu
M2 wang kasema mbagala maji matitu,ipo Dar.
hujaeleza iko mkoa gani,au wilaya gani na mtaa gani
tueleze plz mkuu
nyumba safi sana mkuu
Ipo wilaya ya Temeke , mbagara maji matitu mkoa wa Dar es salaam, Tanzania East Africa ,hujaeleza iko mkoa gani,au wilaya gani na mtaa gani
tueleze plz mkuu
wewe sio Mtanzania? Haiyumkiniki huifahamu Mbagala, imeimbwa na mwanamuziki wa Bongo flavor, na juzi tu imeingia kwenye ramani ya dunia baada ya baadhi ya Waislamu kuvamia na kuharibu Makanisa.
Huyo mleta bandiko anasema 85 milion ni bei poa!!??
Nyumba yenyewe iko Mbagala! Jamani, tuwe tunajifikiria mara mbili mbili kabla ya kutamka bei.
NYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO
- Kiwanja kimepimwa sqm 1092 kina offer
- Vyumba 4 vya kulala 1 master
- Juu gypsum
- chini cement ya kawaida
- ina store, jiko , sehemu ya kula chakula.
- imezungushiwa ukuta mkubwa, umeme upo .
haina tiles, geti kubwa , haijawekwa zege hapo nje ( jamvi )
Ipo mbagara maji matitu, tuwasiliane 0657 145555 , 0755 099 291 & 0686 200 117
inauzwa 85m.
View attachment 69366 View attachment 69367 View attachment 69368 View attachment 69369 View attachment 69370
Amechoka vurugu za kidini Mbagala!!!Mkuu Nyumba imetulia ile mbayaa... kwann inauza???