Jumamosi irejeshwe kuwa siku ya kazi ofisi za umma

Pumba tupu hiyo! akili za kuazima usituletee humu jf. mbona hushauri kuongeza mishahara na ajira mpya?
 
Mimi ni mtumishi wa umma.
Sina cha jmosi wala jpili. Na sasa naelekea kazini. Nurses , drs wako kazini. Waalim wa zamu, police wako kazini.makatibu wakuu wa wizara, wasaidizi wao lazima wataenda kazini. TRA bandarini, usalama barabarani wataenda lazini.....n.k. Ukiona kazi yako haikuhitaji kufanya kazi jmosi na jpili.....ujue sio muhimu.... Ndio kazi za kupunguza kubana matumizi ya serikali.
 
Mbona hata hizi siku tano watz Hawafanyi kazi kwa uhakika. Unaweza ugua usiku wa manene huwezi kuta dirisha la dawa liko wazi hospitali za umma ikiwemo Muhimbili
 
Enzi za mwalimu tulikuwa tunachapa kazi mpaka saa sita mchana,mzee Ruksa akaifutilia mbali.Sasa kama Rais JPM anasema kazi tu rudisha Jumamosi kuwa siku ya kazi serikalini tuache kulala lala.
M nadhan zote zifutwe IL ziwe siku za kazi tu.
 
Ac
Enzi za mwalimu tulikuwa tunachapa kazi mpaka saa sita mchana,mzee Ruksa akaifutilia mbali.Sasa kama Rais JPM anasema kazi tu rudisha Jumamosi kuwa siku ya kazi serikalini tuache kulala lala.[/QUO acha mambo hayo mkuu wengine ni sku takatufu hiyo
 
Huyu kutumwa na shetani!!! Ushindwe kwa Jina Yesu!! Jumamosi ni siku takatifu kwa Bwana! Ni sabato ya kupumzika kabisa. Kutoka 20:8
Tena ni kuanzia Ijumaa jua linapotua mpaka Jumamosi jua linapotua. Magufuli akitaka kubarikiwa aifanye siku hii iwe ndiyo takatifu ya kupumzika na kumwabudu Mungu.
 
Enzi za mwalimu tulikuwa tunachapa kazi mpaka saa sita mchana,mzee Ruksa akaifutilia mbali.Sasa kama Rais JPM anasema kazi tu rudisha Jumamosi kuwa siku ya kazi serikalini tuache kulala lala.
kazi gani wataz wanayofanya labda kuiba
 
Watu wanaoibia wafanyakazi wenzao, au serikali, hupenda siku zote ziwe za kazi ili akaibe, anaetegemea mshahara tu hawezi omba hii. Watu wa aina huwa hawachukui likizo kazini, wakihofia viti vyao hukaliwa na wengine.
 
Back
Top Bottom