Ndoto zake za ubunge zilichangiwa na kutokuona mwanga mbele yake akilinganisha maisha yake na wenzake walopmpiga gape (voa na bbc) akadata kabisa akaona sasa mbona hawa wabunge wetu kama wanatanua tuu hawana lolote wako kama mimi tu ngoja nijaribu nami....ila sasa amepata mwanga wa maisha bora angalau ajitahidi kwanza kuwa standatd level kimaisha.....then afanye savings aone kama ataweza kuzipeleka pesa zake za jasho kwa wapiga kura na wapiga debe kondoa....labda 2015 ila asijaribu ataumbuka!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.