juma jux kanunua helcopter hahahahahaha ww unazani hicho kifaa ni mchezo mchezo.Unamjua utafikiri kakulala vile
HaterUnamjua utafikiri kakulala vile
afadhari umesema wewe mkuuNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Ngumi na music ni mbingu na ardhi, ngumi utastaafu mapema lkn music hata ukiwa huwezi kuinuka/kusimama utakula sauti yako daima.Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Ndo hiyo W212 (2013-16) sema acha wehu wa kusema ina hadhi ya chini ndio maana huzioni barabarani nyingi. Hiyo Mac sio makalio tuseme adi wewe unayo.Hiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chiniView attachment 1864990
Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
Mzee hiyo sio toyota hapo hujui kitu.Hii ni ya 2016 mzee baba AMG
Ivi ulishawai kushika hela ndefu au kumiliki kitu cha thamani.Kuna taarifa lile used la billioni 2.9 limeonekana gereji uswahilini. Yaani unapeleka gari la billioni 2.9 kwenye gereji ya elfu kumi kumiView attachment 1865017
Sio wehu, Nimesema ukiilinganisha na Rolls Royce aliyonunua Diamond platnumz hiyo Benz E class ni gari ya hadhi ya chini na nitabaki na msimamo huo huo. Watu wengi wa kipato cha kati wananunua hizo W212 na siku hizi kupishana nazo mjini ni kawaida they are no longer "heard turners" lakini Rolls Royce Cullinan (Black Badge) or any other model ya Rolls Royce ni wangapi wananunua ?Ndo hiyo W212 (2013-16) sema acha wehu wa kusema ina hadhi ya chini ndio maana huzioni barabarani nyingi. Hiyo Mac sio makalio tuseme adi wewe unayo.
Zaidi utaona toroli za kwenda kuchezea Golf.
Btw, huyo Jux naye mshamba tu vijana tunazo hizo na tumetulia tunafanya mitikasi yetu. Wamiliki wa Benz halisi hatunaga mbwembwe.
Sema labda kwakua ni msanii ndo mana.View attachment 1872883
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ni ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
He may not but he is already far beyond..!!Diamond Platnumz – the next Bill Gates?
Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model. It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on its maiden voyage you can imagine the reaction. “To me it’s not just my car, it’s our car. Whoever...www.jamiiforums.com
Sawa tajiriMzee hiyo sio toyota hapo hujui kitu.
Hiyo sio w212 ya MY 2016 acheni kulishwa matango pori na wasanii.
W212 ya MY 2016 ina slight interior changes kulinganisha na ya MY 2014-15.
Kingine w212 hiyo sio AMG.......AMG interior ipo tofauti.
Hiyo W212 ya huyo msanii ni w212 ya kawaida ila ina sports/AMG Package......
Kwa kukusaidia siku nyingine kama Benz sio E63 au C63 au 63 nyingine basi hiyo sio AMG.
Sasa huyo msanii kachukua E200 kaweka badge ya E400 anakuja kuwalisha tango pori ni AMG sasa mbona sio E63??
Naongea kama mmiliki nayezijua Benz.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ni wivu tu...ni wivu tuuu!!!😅Naona mods siku hizi wanalala na wewe mbere kwa mbere shida nini mkuu?
Ni wivu tu...ni wivu tuuu!!!
Mtoa mada hapendi maendeleo ya Mond. His post (s) says it all.
1. Ulimsifia Jux kwamba kamzidi Mond kimaisha
2. Uwoya kapanda uber RR
3. Hii post
Mwanaume weee? Yatakuja yakushinde mchana kweupe.
Zipo nyingi sana zaidi ya hizo tatu, hate is an incurable deseas.Mtoa mada hapendi maendeleo ya Mond. His post (s) says it all.
1. Ulimsifia Jux kwamba kamzidi Mond kimaisha
2. Uwoya kapanda uber RR
3. Hii post
Mwanaume weee? Yatakuja yakushinde mchana kweupe.