JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu muda si mrefu.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu muda si mrefu.