Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

instagram

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,091
4,716
Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.

Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.

Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.

Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu muda si mrefu.

 
Hiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chini👇
SmartSelect_20210723-202854_Chrome.jpg

Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
 
Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Kufulia akili ya mtu mwenyewe sababu Tyson kafulia unazani kila mtu atafulia, mbona Jay Z hajafulia pamoja na kutembelea Maybach ya usd 8m ,saa ya mkononi usd 3m na cheni shingoni usd 300000.

Husiforce wafaane kila mtu ana akili yake na plan zake. Haya kwa wewe unaamini Mondi atafulia Jux hatofulia? Endelea kusubiria Meli Airport aliyepewa kapewa we baki na chuki zako.
 
Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.

Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.

Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.

Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
Mimi niko hapa sina hata baiskeli ila wanipe miaka michache watakua chini yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom