Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,938
afungiwe maisha kwa uongo wake elizaboniAfungiwe maisha huyu kilaza
afungiwe maisha kwa uongo wake elizaboniAfungiwe maisha huyu kilaza
Wewe jamaa una majungu sana..mbona kuna mambo mengi ya msingi yakuandika..hasa uchumi wetu na elimu..una shida gani?Tutaaminije taarifa yako? By the way taarifa niliyoweka haikusema kuwa Juma Duni Haji amerejea CUF bali ilisema kuwa Babu Duni ajiengua CHADEMA. Pia kwenye ile taarifa nilisema kuwa Babu Duni hajaamua kama arejee CUF au astaafu siasa. Kuwa makini na matamko yako ya kichina
Mbona povu linakutoka tulia utaelewaBashite umepanic baada ya kukamatwa ugoni.