Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,167
Kama umeisikiliza VIDEO sidhani kama unaweza kuandika ulichokiandika kwani tarehe inaonyesha ni 1 january 2011 je wakati huo Babu Duni alikuwa CHADEMA?
Achana na taahira hilo lilishazidiwa kiboga!
Kama umeisikiliza VIDEO sidhani kama unaweza kuandika ulichokiandika kwani tarehe inaonyesha ni 1 january 2011 je wakati huo Babu Duni alikuwa CHADEMA?
Wewe umevurugwa kila mtu unafikiri ni mwandishi wa habari? hapa tunachoweka ni taarifa na lengo kubwa la taarifa yangu ilikuwa kuwafahamisha wale waliokuwa wakiuliza Babu duni yuko wapi.Wee kweli kiboga ni wa Igunga, yaani unaleta picha za kichovu namna hiyo? You can do better than that my broda!!
Mkuu hutaniwi hata kidogo?Wewe umevurugwa kila mtu unafikiri ni mwandishi wa habari? hapa tunachoweka ni taarifa na lengo kubwa la taarifa yangu ilikuwa kuwafahamisha wale waliokuwa wakiuliza Babu duni yuko wapi.