Habari za jioni bw Aweso
Mm ni mkazi wa goba osterbay hapa jirani na bar ya Triple B,tuna muda wa wiki tatu hatujapata maji na wala dawasco hawajatoa taarifa yoyote ya nini tatizo.
Kikawaida tunapata maji kwa wiki mara moja kila siku ya jumatano, lakini imepita wiki tatu sasa hatujapata maji kabisa na hatujui tatizo nini!matokeo yake tumeishia kununua yale maji yanayouzwa katika magari ambapo inagharimu shilingi 15,000 kwa liter 1000!naomba sana ufuatilie na watu wako wa dawasa watueleeze shida ni nini??
Moderators naomba pia muupost huu uzi ktk mitandao yenu ya x, Whatsapp channel, Instagram ili dawasa na Juma aweso wauone wasaidie kutatua tatizo.
Mm ni mkazi wa goba osterbay hapa jirani na bar ya Triple B,tuna muda wa wiki tatu hatujapata maji na wala dawasco hawajatoa taarifa yoyote ya nini tatizo.
Kikawaida tunapata maji kwa wiki mara moja kila siku ya jumatano, lakini imepita wiki tatu sasa hatujapata maji kabisa na hatujui tatizo nini!matokeo yake tumeishia kununua yale maji yanayouzwa katika magari ambapo inagharimu shilingi 15,000 kwa liter 1000!naomba sana ufuatilie na watu wako wa dawasa watueleeze shida ni nini??
Moderators naomba pia muupost huu uzi ktk mitandao yenu ya x, Whatsapp channel, Instagram ili dawasa na Juma aweso wauone wasaidie kutatua tatizo.