Mtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Na waziri mkuu wake atakuwa Haji ManaraMtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Kumbe kiongozi nawe umeliona hili. Mleta mada hajatoa hoja ya kuushawishi umma kwa nini anaona mheshimiwa Aweso anastahili kuwa rais ajaye.Sasa ndugu unataka watu wapinge kwa hoja wakati mada yako haina hoja.
Go tell it to the birds mwanangu. Hivi mnamharibia mjue kama kweli anautaka urahisiMtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Hata mwendazake alisema Lukuvi na Profesa Majalalani hawatakuwa marais ila Mungu hapangiwi na mwanadamu mwenye kujua kesho yetu nu aliye juuMtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Ni mkatoliki???Mtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Rais anayefuata ni kati ya hawaMtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote . Rais baada ya Mama Samia ni kati ya hawa watatu..
Ili tupinge kwa hoja nawe ulitakiwa utoe post yako kwa vigezo! Una vigezo gani vya kuthibitisha post yako? Vinginevyo post yako itakuwa utopolo mtupu!Mtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Labda rais wa TFFMtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Labda Urais wa DAWASCO au NUWA.Mtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.