Juma Aweso ndiye Rais ajaye

Juma Aweso ndiye Rais ajaye

Bora Mtz yeyote asie na hulka za JPM anatufaa na muhimu tuwe na Katiba Bora.
 
Mama alisema acheni haya mambo mpaka wakati wake.
 
Hili linawezekana, maana tangu enzi za JK mdogo, kuupata uraisi limekuwa jambo jepesi sana.
Urais siyo jambo jepesi mkuu.
Kumbuka mwaka 2015 kuna mgombea alitumia mabilioni ya shilingi kwa kampeni aliyofanya zaidi ya miaka 10 ili apate urais.

Na pia alitumia vyama viwili tofauti, mwisho wa siku aligonga kisiki.
Kwa hiyo hakuna urahisi wa aina hiyo.
 
Mtake msitake hiyu ndiye raisi anayefuata baada ya mama samiha.alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Wewe jamaa wa ajabu ulisemaga hv kwanza kwa Jafo ukabadilika alipoteuliwa Bashiru akasema hivyo hivyo, sasa umebadili tena imekuja na huyo aweso. Kumbuka miaka minne ni mingi sana kitu chochote chaweza tokea. Ila mimi nadhani hata wewe unastahili kushika nafasi hiyo kwanini usiseme ni wewe! NDEGE JOHN!
 
Kuna Ile hadithi ya wahenga isemayo Kuna siku viungo vya mwili vilikua vinagombea uongozi. Kila kiungo kikatoa hoja Yake, ilipofika zamu ya mkund* kila kiungo kilicheka kupindukia. Basi mkun""u ukasema tutaona halafu ukafanya mgomo. Ndani ya siku tatu kila kiungo kilisalimu amri na kusema Mkun*u upewe uongozi.
Hata in everyday life. Viongozi wengi Ni wale wenye akili au tabia kama mkund*.
 
Kuna Ile hadithi ya wahenga isemayo Kuna siku viungo vya mwili vilikua vinagombea uongozi. Kila kiungo kikatoa hoja Yake, ilipofika zamu ya mkund* kila kiungo kilicheka kupindukia. Basi mkun""u ukasema tutaona halafu ukafanya mgomo. Ndani ya siku tatu kila kiungo kilisalimu amri na kusema Mkun*u upewe uongozi.
Hata in everyday life. Viongozi wengi Ni wale wenye akili au tabia kama mkund*.
Amuulize Boss wake Makame Mbarawa kilichomkuta
 
Atake asitake mitano tena kwa jiwe au hata milele....Bashiru anasemaje? Bado haamini nguvu ya muumba?
 
Ngoja atuhudumie tupate maji kwanza tuone!

Tuone kama ni nguvu ya soda au ni utashi wake wa kiutendaji.
 
Mtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.


Siafiki, huyu amekuwa na matumizi mabaya ya resources za umma, amekuwa anachukua fedha kutoka kwenye mamlaka za maji kwa shughuli binafsi ndiyo umpe nchi!!!?
 
Kila muda na tabiri zake...

Kuna wakati pia Suleman Jaffo aliwika sana humu
 
Mtake msitake hiyu ndiye Rais anayefuata baada ya mama Samia. Alama zote zinaonekana anayepinga apinge kwa hoja.
Kwa kweli hata mimi niliwahi kufikiria hivyo hivyo, kuna siku nilimuona kwenye taarifa ya habari alivyokuwa anafuatilia kazi kwa undani..yaani yuko deep na very determined...kwa kweli tuna hazina ya viongozi wengi time will tell mwenyezi Mungu atawapa hekima wanaoteua viongozi kuchagua viongozi wanaojituma kwa dhati hata ukimuangalia kwa macho nafsi inaamini huyu ni jiwe anaweza...
 
Back
Top Bottom