Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,231 113,609 Feb 22, 2020 #1 Nyerere akitema madini. Nadhani ilikuwa ni mwaka 1966. Anzia dakika ya nne [4].
Mzalendo Uchwara JF-Expert Member Jan 26, 2020 3,716 11,704 Feb 22, 2020 #2 Hiyo ni kabla hajakengeuka na kuanza siasa za udikteta na ujamaa alizoiga huko china, tulianza vizuri sana 1961-1967, baada ya hapo ni balaa tupu.
Hiyo ni kabla hajakengeuka na kuanza siasa za udikteta na ujamaa alizoiga huko china, tulianza vizuri sana 1961-1967, baada ya hapo ni balaa tupu.
Proved JF-Expert Member Sep 10, 2018 27,544 34,871 Feb 22, 2020 #3 Huyu Mzee alianza vizuri sana kusema kweli ila sijui nini kilimkumba hapa katikati akavuruga kila kitu kizuri alichokianza yeye mwenyewe.
Huyu Mzee alianza vizuri sana kusema kweli ila sijui nini kilimkumba hapa katikati akavuruga kila kitu kizuri alichokianza yeye mwenyewe.
Rajab_Omar JF-Expert Member May 15, 2016 16,457 27,104 Feb 22, 2020 #4 Mwalim Nyere: "Merger between two countries"