mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,848
- 106,051
Alikuwa ni maarufu,ni MTU wa watu yaani social na kila MTU,amefaudu kuula ujana dakika za mwisho nadhani aliamua kumrudia Muumba wake maana alianza kufanya ibada na kuzinyoosha njia zake akijutua jinsi alivokuwa akiukimbiza upepo na kuona si kitu,heri arudi kwenye mstari, Mungu ampokee kiumbe chake tumehuzunishwa wengi kwa kweli.Aiseee!
Ila binafsi hata nikiulizwa na wadogo zangu wa kike huyo aggy amelifanyia nini taifa mpaka aonekane amegusa Wengi kiasi hicho nakosa majibu!
Sijui hata kwanini!
Amina,yule aliempangiaga nyumba MBONA hakuonekana kwenye kuaga au kumpost tu hata RIP wakati ni mkazi wake.Roho ya Marehemu Agnes G Waya Ipumzike kwa amani.
Mtatiro umezungumza vema but swala mengne hayo ukilaumu serikali sio sawa alikua MTU mzima anaelewa bays no lip na jemaKWAHERI MASOGANGE...HATUKUKUTENDEA HAKI!
[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J
Ndugu zangu, uvumilivu umenishinda na nikaona lazima niandike jambo. Ni kawaida yetu kwenye taifa letu kuandika kurasa nyingi za wasifu wa
She is a celebrity , ni modern times social status, zamani wanamfalme, ama matajiri ndo walikuwa na hdhi, ila siku hizi ucelebrity ni nyota ya mtu haijalishi kafanya ni MTU mashuhuri Agnes alikuwaAiseee!
Ila binafsi hata nikiulizwa na wadogo zangu wa kike huyo aggy amelifanyia nini taifa mpaka aonekane amegusa Wengi kiasi hicho nakosa majibu!
Sijui hata kwanini!
Ipo video mkuu,mikoani tunatuma piaMwambE Julian atuonyeshe hio sehem aggy alivyotikisa makalio yake bila nguo.
Wengine hatujaona.
Mkuu Marehemu J. F. Kennedy aliwahi kusema: “A nation reveals itself not only by the men it produces but also by the men it honors, the men it remembers''. Tanzania bado tuna safari ndefu mno mno. Nadhani elimu yetu haitusadii kufikiri bali kufuata mkumbo tu.Aiseee!
Ila binafsi hata nikiulizwa na wadogo zangu wa kike huyo aggy amelifanyia nini taifa mpaka aonekane amegusa Wengi kiasi hicho nakosa majibu!
Sijui hata kwanini!
Fact navaa picha ya alichokinena nakubaliana nae 100%Positive view! I like this.
Form four failure huyuuSawa Agness hakusoma, Huyu jee...?
View attachment 754040
Rasili mali ya TaifaSawa Agness hakusoma, Huyu jee...?
View attachment 754040