Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
Wana JF,
Hawa jukwaa la wahariri wana maana gani wanapotoa waraka na kusema wanatambua ufinyu wa rasilimali za nchi wakati ongezeko la posho kwa wabunge zimesainiwa? Mbona hawakutoa waraka kupinga na posho kwa kusema wanatambua pia rasilimali ni finyu. Naomba mnapotoa nyaraka msikurupuke hovyo. Mnaudhi watu wanaotambua uhalisia wa siasa ya hii nchi.
Nawasilisha.
Hawa jukwaa la wahariri wana maana gani wanapotoa waraka na kusema wanatambua ufinyu wa rasilimali za nchi wakati ongezeko la posho kwa wabunge zimesainiwa? Mbona hawakutoa waraka kupinga na posho kwa kusema wanatambua pia rasilimali ni finyu. Naomba mnapotoa nyaraka msikurupuke hovyo. Mnaudhi watu wanaotambua uhalisia wa siasa ya hii nchi.
Nawasilisha.