Pragmatist
Member
- Sep 21, 2012
- 18
- 1
Hili jukwaa la Katiba Tanzania linapinga karibu kila kitu kinachofanywa na Tume ya Katiba. Inashangaza kuwasikia wakisema muda wa Katiba Mpya usogezwe mbele. Nani kawapa madaraka ya kuwasemea Watanzania wote wakati Watanzania walishaamua wanachotaka kupitia Sheria ya Mchakato wa Katiba Mpya? Au wanataka muda uongezwe ili waendelee kufaidi vijisenti vya wafadhili wao? Wabongo bwana! Waache Tume ifanye Kazi yake. Hongera tume. :israel: